Uchaguzi 2020 Viti vinne vya Ubunge ACT-Wazalendo

Uchaguzi 2020 Viti vinne vya Ubunge ACT-Wazalendo

Kwa maana hiyo; wakipatikana "cream of the cream" 15 toka CHADEMA na kujitoa mhanga wa kwenda vitani kupitia Bungeni -; na huku nje yakawekwa mashambulizi ya kudumu, hapo bado haiwezekani kuikomboa nchi hii?

Wapinzani ni lazima wajipime, na kuamua njia watakazotumia 'kuendeleza' mapambano.

Hapana, sio 'kuendeleza', bali sasa iwe ni 'kuanza' rasmi mapambano mapya.
Njia zote zikifeli za kurudia uchaguzi inabidi tu wachaguliwe hiyo cream ya wajenga hoja ili sasa wakawe chachu ya kuwapa ushawishi CHADEMA bungeni kuelekea 2025!!

Vyovyote itakavyokuwa ni lazima huku nje waweke presha ya tume huru otherwise hyo 2025 ndio itakua CCM 100%
 
Mmezidi unyonge na nyinyi, mnasubiri kila kitu mpiganiwe na viongozi wa upinzani, huu ni muda wa kila anayejitambua kuikataa serikali ya kiimla kwa vitendo.
Sawa keyboard warrior. anza wewe tuone, pumbavu sana
 
Kama una ubavu onyesha mfano mkuu.
Hahahaha...ww jamaa bana wakati unashangilia udhalimu kumbuka na ww mlija wako wa buku saba umekwenda kuzikwa rasmi.....Jiandae kupiga mizinga wa nduguzo.
 
Kwa maana hiyo; wakipatikana "cream of the cream" 15 toka CHADEMA na kujitoa mhanga wa kwenda vitani kupitia Bungeni -; na huku nje yakawekwa mashambulizi ya kudumu, hapo bado haiwezekani kuikomboa nchi hii?

Wapinzani ni lazima wajipime, na kuamua njia watakazotumia 'kuendeleza' mapambano.

Hapana, sio 'kuendeleza', bali sasa iwe ni 'kuanza' rasmi mapambano mapya.
Kuikomboa nchi🤔?
 
Kwa maana hiyo; wakipatikana "cream of the cream" 15 toka CHADEMA na kujitoa mhanga wa kwenda vitani kupitia Bungeni -; na huku nje yakawekwa mashambulizi ya kudumu, hapo bado haiwezekani kuikomboa nchi hii?

Wapinzani ni lazima wajipime, na kuamua njia watakazotumia 'kuendeleza' mapambano.

Hapana, sio 'kuendeleza', bali sasa iwe ni 'kuanza' rasmi mapambano mapya.
Katiba mpya tu
 

Kwa matokeo haya, uongozi mzima wa CHADEMA unapaswa kujitathmini na kuachia madaraka
Ni kweli ndugu yangu
 
Hahahaha...ww jamaa bana wakati unashangilia udhalimu kumbuka na ww mlija wako wa buku saba umekwenda kuzikwa rasmi.....Jiandae kupiga mizinga wa nduguzo.
Hahah!

Tuanze kujifariji na zile picha tulikuwa tuna edit kwenye mikusanyiko ya kampeni tulikuwa tunamaanisha umma tunakubalika.
 
Watu wakina nani? Nyie MATAGA waimba mapambio mlijua net ikizimwa itazimwa kwa wapinzani tu.Wacha dawa iwaingie!

Hahahah kumbe nawe mpinzani pole sana kwa kukojolewa kama anavyokojolewa mwalimumkuumamaako...!
 
Back
Top Bottom