Wajiona unajua, hujui mwenzako yuko nchi gani na anatumia support gani ku access internet.Kwamba hujui kuwa unchokitumia hapa ni internet! Ndiyo wapigiga kura wa tobo aseeh...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajiona unajua, hujui mwenzako yuko nchi gani na anatumia support gani ku access internet.Kwamba hujui kuwa unchokitumia hapa ni internet! Ndiyo wapigiga kura wa tobo aseeh...
Safari hii kambi ya upinzani bungeni itakuwa na wanawake watupu, hakuna gender balance.Bado CDM itaendelea kuwa chama kikuu cha upinzani bungeni na wale wabunge wanawake jasiri wanarudi bungeni. Hicho kiti kimoja kinatoa wabunge zaidi ya 25
Yaani hawa mazwazwa ndiyo wamekwisha kabisa kisiasa kwa sasa, wanatia huruma sana. Vyama vyao inabidi wawaangalie wasije kujiua.Wakuu Salaam,
Gazeti la Mwananchi limeandika ukurasa wa mbele kuwa ACT kimepata viti vinne vya ubunge bila kutaja majimbo yenyewe.
Nauliza ni majimbo gani hayo ambayo ACT kimeshinda?
Au ni yale ya Zanzibar?
View attachment 1616360
Tuache aisee na ukhanisi wetu. Kwani kupakuliwa shs ngapi! Tena mtuletee majemedari wa toka Zanzibar wale wala urojo waje tushuulikia kisawasawa maana twawasha. Twanyevukwa na vijidudu mboleani.Sema wabongo tumekuwa kama makhanisi aisee..tunaminywa minywa tu na hutuwezi kufanya lolote..What the point ya kurestrict social media hadi leo jumamosi?
Ikatae wewe.....Mmezidi unyonge na nyinyi, mnasubiri kila kitu mpiganiwe na viongozi wa upinzani, huu ni muda wa kila anayejitambua kuikataa serikali ya kiimla kwa vitendo.
Kumbe mpo wengi! Sikufikiria angeweza kufikisha kura milioni moja...Wajiona unajua, hujui mwenzako yuko nchi gani na anatumia support gani ku access internet.
Inamaana wewe hufahamu sababu ya mitandao kufungiwa au ndio ukhanisi wenyewe?Sema wabongo tumekuwa kama makhanisi aisee..tunaminywa minywa tu na hutuwezi kufanya lolote..What the point ya kurestrict social media hadi leo jumamosi?
Zile buku7 mwisho wake umekuja maana upinzani hautakuwepo na sijui mtaandika tena kitu gani ili mpate pesa..Kwa idadi hiyo, vyama vya upinzani vinaruhusiwa kuingiza wabunge wangapi kwa mgomgo wa viti maalumu ubunge!?
Poleni.Zile buku7 mwisho wake umekuja maana upinzani hautakuwepo na sijui mtaandika tena kitu gani ili mpate pesa..
Subirini kuolewa Tu hapa mjini
Wakishinda CCM kura zimeibiwa wakishinda Upinzani uchaguzi ulikuwa wa haki ni ajabu ilioje. WANANCHI NI WABAYA KUSHINDA WAJUMBEWasifungue internet tena, wafunge hivyo hivyo watu waache uchochezi! Hao wabunge wanne imekuwaje wamepatikana?
Hao wabunge wa CCM walioshindwa waende mahakamani wakadai haki yao! Haiwezekani upinzani ushinde, kwa kipi walichofanya?
Bunge linatakiwa liwe la CCM kwa miaka mitano! Pinga pinga hatutaki!
Au tuwanunue yaishe,,
Anza wewe Toa Kalio lako mbele
Umejificha Na Id Fake
Kama una ubavu onyesha mfano mkuu.Mmezidi unyonge na nyinyi, mnasubiri kila kitu mpiganiwe na viongozi wa upinzani, huu ni muda wa kila anayejitambua kuikataa serikali ya kiimla kwa vitendo.
Kumbe mbeleko ipo?Bado CDM itaendelea kuwa chama kikuu cha upinzani bungeni na wale wabunge wanawake jasiri wanarudi bungeni. Hicho kiti kimoja kinatoa wabunge zaidi ya 25.