zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Njia zote zikifeli za kurudia uchaguzi inabidi tu wachaguliwe hiyo cream ya wajenga hoja ili sasa wakawe chachu ya kuwapa ushawishi CHADEMA bungeni kuelekea 2025!!Kwa maana hiyo; wakipatikana "cream of the cream" 15 toka CHADEMA na kujitoa mhanga wa kwenda vitani kupitia Bungeni -; na huku nje yakawekwa mashambulizi ya kudumu, hapo bado haiwezekani kuikomboa nchi hii?
Wapinzani ni lazima wajipime, na kuamua njia watakazotumia 'kuendeleza' mapambano.
Hapana, sio 'kuendeleza', bali sasa iwe ni 'kuanza' rasmi mapambano mapya.
Nani Tena yuko Zanzibar?au umeshindwa kuandika kiswahili?Labda uko Zanzibar
Zanzibar ni Pemba na Unguja, Sasa Pemba au Zanzibar maana Yake Nini?Itakuwa Pemba au Zanzibar
Sawa keyboard warrior. anza wewe tuone, pumbavu sanaMmezidi unyonge na nyinyi, mnasubiri kila kitu mpiganiwe na viongozi wa upinzani, huu ni muda wa kila anayejitambua kuikataa serikali ya kiimla kwa vitendo.
Hahahaha...ww jamaa bana wakati unashangilia udhalimu kumbuka na ww mlija wako wa buku saba umekwenda kuzikwa rasmi.....Jiandae kupiga mizinga wa nduguzo.Kama una ubavu onyesha mfano mkuu.
Kuikomboa nchi🤔?Kwa maana hiyo; wakipatikana "cream of the cream" 15 toka CHADEMA na kujitoa mhanga wa kwenda vitani kupitia Bungeni -; na huku nje yakawekwa mashambulizi ya kudumu, hapo bado haiwezekani kuikomboa nchi hii?
Wapinzani ni lazima wajipime, na kuamua njia watakazotumia 'kuendeleza' mapambano.
Hapana, sio 'kuendeleza', bali sasa iwe ni 'kuanza' rasmi mapambano mapya.
Katiba mpya tuKwa maana hiyo; wakipatikana "cream of the cream" 15 toka CHADEMA na kujitoa mhanga wa kwenda vitani kupitia Bungeni -; na huku nje yakawekwa mashambulizi ya kudumu, hapo bado haiwezekani kuikomboa nchi hii?
Wapinzani ni lazima wajipime, na kuamua njia watakazotumia 'kuendeleza' mapambano.
Hapana, sio 'kuendeleza', bali sasa iwe ni 'kuanza' rasmi mapambano mapya.
Ni kweli ndugu yanguKwa matokeo haya, uongozi mzima wa CHADEMA unapaswa kujitathmini na kuachia madaraka
Club ya Chelsea ilipofanya vibaya viongozi wake waliwajibishwa ,pia Arsenal viongozi wake waliwajibishwa na sasa hizo timu zinafanya vizuri baada ya kuingia uongozi mpya. Uongozi ni dhamana na uongozi ni matokeo ,kama uongozi wako umekosa ubunifu na unaleta matokeo yanayotishia uhai wa taasisi...www.jamiiforums.com
Kwa matokeo haya, uongozi mzima wa CHADEMA unapaswa kujitathmini na kuachia madaraka
Ndio, wewe huoni nchi imetekwa?Kuikomboa nchi🤔?
Katiba Mpya haisaidii kitu chochote, kama kuna watu wasioamini katika kutenda haki.Katiba mpya tu
Samahani dada, eeeh, ah eh ih yaani jina lako. Nashindwa kulitamka. Naomba utumie lile lingine!!!Wazime hizo internet milele tu
Ndio mimi ni mmoja wao.Ndio, wewe huoni nchi imetekwa?
Au wewe ni mmoja wa hao watekaji?
Haya tuongoze mkuuMmezidi unyonge na nyinyi, mnasubiri kila kitu mpiganiwe na viongozi wa upinzani, huu ni muda wa kila anayejitambua kuikataa serikali ya kiimla kwa vitendo.
Wanawake oyeeeSafari hii kambi ya upinzani bungeni itakuwa na wanawake watupu, hakuna gender balance.
SureWatu wanataka internet irudi hawataki kusikia chochote so far...!
Hahah!Hahahaha...ww jamaa bana wakati unashangilia udhalimu kumbuka na ww mlija wako wa buku saba umekwenda kuzikwa rasmi.....Jiandae kupiga mizinga wa nduguzo.
Unaikataaje wakati yenyewe imejikubaliMmezidi unyonge na nyinyi, mnasubiri kila kitu mpiganiwe na viongozi wa upinzani, huu ni muda wa kila anayejitambua kuikataa serikali ya kiimla kwa vitendo.
Watu wakina nani? Nyie MATAGA waimba mapambio mlijua net ikizimwa itazimwa kwa wapinzani tu.Wacha dawa iwaingie!Watu wanataka internet irudi hawataki kusikia chochote so far...!
Watu wakina nani? Nyie MATAGA waimba mapambio mlijua net ikizimwa itazimwa kwa wapinzani tu.Wacha dawa iwaingie!
We choko nini.upinzani ni nini?Hahahah kumbe nawe mpinzani pole sana kwa kukojolewa kama anavyokojolewa mwalimumkuumamaako...!