Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Temeke, kata ya sandali mtaa wa mpogo kuna mzee kigogo wa msikiti.Hao ndo wazee ninowazungumzia yani usikute anaweza akaadhini tena yeye na usikute wengine feni haliwashwi bila ya Amri yake ohoooooo
Kaa nao mbali wazee kama hao
We kweli mwehu πKwa mantiki hii unanifanya nione Msikitini wamejaa Waganga
Kuhusu ibada mzee mungu haangalii wengi na kila mtu aikane nafsi yk na amtafute kwa muda wake
Hhhhhhhh unaona sasa hao wazee kaa nao mbali aiseeTemeke, kata ya sandali mtaa wa mpogo kuna mzee kigogo wa msikiti.
Weka mbali na watoto.
Kuna jamaa aliulizia michango na sadaka vinafanya kazi gani? Mwisho akatoa pendekezo pajengwe mahali pa kuoshea maiti. Mtoa mada akawa wakwanza kuoshwa
Kama sio dini yako wala imani yako inakuaje hivyo vitisho wewe vinakugusa na kukushtua na kukufanya usilale mida hiyo?!
Kama wewe ni muamini Kristo jilalie zako achana na hivyo vitisho... kama wewe ni mmoja wao hao watoa vitisho... ACHA UJUAJI WE MPUMBAVU, AMKA USWALI UTAJUTA! HAKUKUWA NA SABABU YA KULETA UZI HUMU KAMA WEWE NI MMOJA WAO.
Hujui vitisho weweee..
Panda kwenye Gari lao la Msiba...
Wanaingilia hadi mambo binafsi ya faragha.
Utasikia "mwache mwenzio sasa"
Haalah.
Temeke, kata ya sandali mtaa wa mpogo kuna mzee kigogo wa msikiti.
Weka mbali na watoto.
Kuna jamaa aliulizia michango na sadaka vinafanya kazi gani? Mwisho akatoa pendekezo pajengwe mahali pa kuoshea maiti. Mtoa mada akawa wakwanza kuoshwa
EhehehHhhhhhhh unaona sasa hao wazee kaa nao mbali aisee
Dah ila hukumu yake ipo tu siku ya masiku itakapofika
Nilikuwa nakuheshimu sana bwana Jiwe angavu, nimegundua na wewe ni HOVYO KABISA KUMBE!Shida maspika yana piga mikelele,tumieni watsap group kupiga azana.
Huyo jiwe la waash we mwache.kikubwa omba ufe katika njia iliyonyooka.sisi na watoto wetu.Nilikuwa nakuheshimu sana bwana Jiwe angavu, nimegundua na wewe ni HOVYO KABISA KUMBE!
huko makanisani kwenu mnadanganyanaga kupitia WhatsApp groups pia nyie WAPUMBAVU?!
Sasa upuuzi wao wote huo hawauoni. Wamekazania mada za majini na kuuza dawa misikitini.Huyo jiwe la waash we mwache.kikubwa omba ufe katika njia iliyonyooka.sisi na watoto wetu.
Ukiona mtu anapuliziwa kopo la dawa ya mbu kusudi apate uokovu unatakiwa hata vipele vya barid vikupate kwa jins mwenzako alivo katika giza nene. Lau mungu akimjaalia uongofu ataongoka lakina akitaka yeye mwenyewe.au watu wanakanyagwa kanyagwa au wengine wamejifungia wamekufa bila kula kiufup ni giza totoro.
Sahihi kbsNi maneno ya ovyo sana ya kulaani wengine tu hayo. Hakuna kitu napingana nacho kama hicho.
Soma Tena ulichoandika deduct hoja zako utajua unelekea wapWe kweli mwehu π
Ukijua msemo wa "Safari ya Mamba na kenge wamo" sidhani kama kuna haja ya kubishana... makanisani wanaingia wachamungu wote?! Wengine jumapili wakitoka humo makanisani wanaenda kupigwa Gangbang huko
Sipping ila hakuna muda sahihi wa kuswali km sio muda wowote unatkiwa kuswaliQ: "Swali kabla hujaswaliwa" EOQ.
Unataka kuniambia usingizi hauna ubora kwa binadamu?Swala ni Bora kuliko usingizi
Ha ha ha ha mbavu zanguManeno hasi ya Azana yananifanya nisilale kila ifikapo alfajiri.
Kwa mbali naskia "Swalah Swalah
Kitanda chako ndio kaburi lako
Usingizi wako ndio kifo chako
Shuka lako ndio sanda yako" na maneno mengine ya kukutoa kitandani.
Aaaah Jamani eeeh
Oya hz Mambo Kama wangeweza kupigiana simu waambiane muda wa kuswali umefika ingependeza zaidi
Mana tunaosikia hivyo vitisho ni wengi hasa ss tunaolala nusu nusu
Najua Sehem ya wahusika mnasoma na isiishie hapo mkaambiane huko uongozini Mana hw wa mtaani kwang wanajitia viziwi
Yananikera hy manenoMkuu Pole.. kama inatisha tisha hiyoo.
Sahihi kabisaHAYA MANENO HUWA SI MAZURI. MTU MUITE MUELEKEZE UZURI WA SALA SIYO KUANZA KUMTISHA NA MANENO MAKALI N.K
Huu mtaa serikali imejaa was mlengo Hui man waliwashitak walokole kuwa wanawasunbua usiku ila wameshindwa kuwashitaki waromaHiyo sio adhana bali ni kelele tu adhana maneno yake ni machache sana ayachukui zaidi ya dakika 5 kama vipi nenda serikali za mitaa,lakini ukumbuke na vilio vya warokole usiku kucha majirani hawalali