Mla Bata
JF-Expert Member
- Jan 24, 2013
- 7,841
- 17,491
Dawa ya Deni ni kulipa ila Branch kwa hizi message zenu za vitisho mnazonitumia hii sio sawa, hao watu wenu wa customer care inabidi wajifikilie mara mbili mbili, deni lenyewe buku tano ila message kama tunadaiana milioni wazee, acheni hizo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app