Vitisho vya Branch

hii branch ndio kitu gani?

maana nilifungua harakaharaka nikijua unamaanisha branch ni Mosad,MI6 au CIA au TISS

haya bana; lakini dawa ya deni ni kulipa;lipa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nimekula ela yao kubwa kweli hivi sasa kwenye sms nimeblock sms zote zenye keyword BRANCH wajinga hawa walikua wanakula tu riba zangu nikawavutia pumzi tu...Anyway mdaiwa hafungwi waje huku mbinga wafungue kesi wakishinda nitawapa chao...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…