Mla Bata
JF-Expert Member
- Jan 24, 2013
- 7,841
- 17,491
- Thread starter
- #21
[emoji23][emoji23][emoji23]mi wanakuja na namba mpya daily.Mimi nimekula ela yao kubwa kweli hivi sasa kwenye sms nimeblock sms zote zenye keyword BRANCH wajinga hawa walikua wanakula tu riba zangu nikawavutia pumzi tu...Anyway mdaiwa hafungwi waje huku mbinga wafungue kesi wakishinda nitawapa chao...
Sent using Jamii Forums mobile app