Vitisho vya Chama cha Walimu Tanzania(CWT) dhidi ya walimu nchini

Vitisho vya Chama cha Walimu Tanzania(CWT) dhidi ya walimu nchini

Wewe ndio hujui unachokiongea, haya hebu niambie TUGHE wanaibiwaje na viongozi wake kama ilivyo CWT cha Waalimu?
Hebu sema hao Tughe wanafaidika na nini kwenye hicho chama chao?

hata wao ni vilio .
 
CHAKUHAWATA?Like seriously, hicho chama kinaitwa hivyo?
Sasa hivi kila mtu anaanzisha chama cha wafanyakazi ili awaibie Watumishi kwa kushirikiana na serikali.

Hakuna Cha maana ndani ya hivyo vyama.
 
SIO LAZIMA, Lakini si unawajua Waalimu wa Tanzania walivyo, hawaandamani kupinga makato au hata kuhoji kwanini Wanakatwa

Wapowapo tu.

Yaani faida wanayopata ni T-shirt tu.
Kofia na kuchaguliwa kusimamia kura au mitihani basi wanaona ndio dili.
 
Ukijiunga CHAKUHAWATA ndio utakatwa mara mbili pamoja na Agency fees ya CWT?
 
SIO LAZIMA, Lakini si unawajua Waalimu wa Tanzania walivyo, hawaandamani kupinga makato au hata kuhoji kwanini Wanakatwa

Wapowapo tu.

Yaani faida wanayopata ni T-shirt tu.
Kujiunga na chama cha wafanyakazi siyo lazima.

Ila kukatwa makato Ni LAZIMA hata ukwepe vipi.

Sheria inavitaka vyama vya wafanyakazi kukata Kuna kitu wanaita ADA YA UWAKALA, na hii Ni kwa Watumishi wote ambao siyo wanachama ila wanafanya kazi sehemu ambayo theluthi ya Watumishi Ni wanachama.

Kwahiyo vyama vya wafanyakazi huwa vinatumia huo mwanya kukata 2% ya mtumishi yeyote awe Mwanachama au asiwe Mwanachama.
 
Huo ujinga wao Sasa mtu unaingiaje kwenye chama hauna maslah nacho
Ndugu yangu wewe inaonekana huwajui walimu wa Tanzania. Ni watu waoga kuliko kiumbe chochote kilichoumbwa na Mungu juu ya uso wa dunia hii. Wanatishwa kama watoto, huburuzwa, hufokewa mpaka na watu wa masjala kiufupi kuwa mwalimu Tanzania ni janga.
 
Ndugu yangu wewe inaonekana huwajui walimu wa Tanzania. Ni watu waoga kuliko kiumbe chochote kilichoumbwa na Mungu juu ya uso wa dunia hii. Wanatishwa kama watoto,huburuzwa,hufokewa mpaka na watu wa masjala kiufupi kuwa mwalimu Tanzania ni janga.
Ukiondoa walimu na madaktari ni watumishi gani wengine wa umma walishawahi kugoma na kuisumbua serikali Tanzania?
 
Kujiunga na chama cha wafanyakazi siyo lazima.

Ila kukatwa makato Ni LAZIMA hata ukwepe vipi.

Sheria inavitaka vyama vya wafanyakazi kukata Kuna kitu wanaita ADA YA UWAKALA, na hii Ni kwa Watumishi wote ambao siyo wanachama ila wanafanya kazi sehemu ambayo theluthi ya Watumishi Ni wanachama.

Kwahiyo vyama vya wafanyakazi huwa vinatumia huo mwanya kukata 2% ya mtumishi yeyote awe Mwanachama au asiwe Mwanachama.
"Agency fee" serikali ya CCM ndio imepitisha hiyo
 
Masuala ya Walimu na chama chao tunawaachia wao na CCM wanayoshirikiana nayo kuiweka madarakani kwa dhuluma kila uchaguzi

I feel sorry for teachers Ila nyie wasaliti sana ni mpaka mtakapoamua kuwaomyesha CCM wazi kwamba hamkubaliani na dhuluma hizo ndio mtarudisha heshima kwa jamii.

Kwa sasa pambaneni.
Hao walimu unaowatuhumu kwamba wanashirikiana na misisiyemu kuiba kura si kweli kwani hawana mandate hiyo hata kidogo na access ya kufanya hivyo hayo mambo hayawezi kufanyika ngazi ya chini hasa kwenye polling station .so try to rethink your allegations are not valid
 
Walimu wapi wewe unawaongelea? Hawa wanaozabwa viboko na wakuu wa wilaya kama watoto.
Watumishi gani wengine ambao sio waoga Tanzania niambie?
Walau hata walimu walishajaribu kugoma na kuisumbua serikali miaka flani
 
Kama mwl kuwa mwanachama wa cwt anafaidika je kwa nini akitaka kujiondoa viongozi wa cwt macho yanawatoka kama wameona barua ya talaka ? kwa nini wasimuache kiroho safi ili akose faida ambazo wanazipata wanachama wengine kama zipo kweli?
 
Watumishi gani wengine ambao sio waoga Tanzania niambie?
Walau hata walimu walishajaribu kugoma na kuisumbua serikali miaka flani
Mbona inaruhusiwa mwalimu kujitoa uanachama CWT. Ipo fomu maalum kwa KM wizara ya elimu inayoruhusu mwalimu kujitoa CWT. Waende kwa KM wizara ya elimu wataipata ile fomu.
 
Hao walimu unaowatuhumu kwamba wanashirikiana na misisiyemu kuiba kura si kweli kwani hawana mandate hiyo hata kidogo na access ya kufanya hivyo hayo mambo hayawezi kufanyika ngazi ya chini hasa kwenye polling station .so try to rethink your allegations are not valid
Mwalimu hawezi kuiba kura na kura haziwezi kuibiwa kwenye kituo cha kupigia kura maana kule ndani kuna mawakala wa vyama vyote. Michezo hiyo hufanyika kata na wilayani wakati wa kujumlisha ambapo mwalimu hahusiki
 
Mbona inaruhusiwa mwalimu kujitoa uanachama CWT. Ipo fomu maalum kwa KM wizara ya elimu inayoruhusu mwalimu kujitoa CWT. Waende kwa KM wizara ya elimu wataipata ile fomu.
Ofisini kwake Dodoma?
 
Back
Top Bottom