'Vitoto' vya wanasiasa vinaingizwa ktk siasa, eti wengine waende kujifunza kilimo Israel!

'Vitoto' vya wanasiasa vinaingizwa ktk siasa, eti wengine waende kujifunza kilimo Israel!

robinson crusoe

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2020
Posts
762
Reaction score
1,236
Nimeona wanasiasa wakishindana kuingiza watoto wao ktk siasa kana kwamba ni sehemu nzuri ya makuzi yao. Naona Mwigulu, Slaa, nk. wote wanatangaza vitoto vyao ktk siasa na huenda rushwa inatembea ili vishinde. Wakati huo huo wengine wanaambiwa kuna fursa Israel, pamoja na hatari ya vita. Matatizo yakitokea Hakuna anayejali.

Ukweli unajionesha kwamba hii ni kuwaandaa watoto kuwa wezi na mafisadi. Tunaelewa wanavyofaidika na wizi ktk siasa na hawataki kujali kwamba hilo ni kosa. Lakini ukweli ni kwamba pole pole mapinmduzi ya kijeshi yanarudi Afrika. Ni miaka michache ijayo tutaelewa usalama wenu na wa watoto ktk siasa.

Kwa hali ya nchi ilivyo naamini hakuna anayewatakia mema wanasiasa maana hawajali kabisa na hawana aibu ya kutangaza watoto wao kuingia ktk siasa kwa kisingizio chochote. Tuko pamoja.
 
Nimeona wanasiasa wakishindana kuingiza watoto wao ktk siasa kana kwamba ni sehemu nzuri ya makuzi yao. Naona Mwigulu, Slaa, nk. wote wanatangaza vitoto vyao ktk siasa na huenda rushwa inatembea ili vishinde. Wakati huo huo wengine wanaambiwa kuna fursa Israel, pamoja na hatari ya vita. Matatizo yakitokea Hakuna anayejali.

Ukweli unajionesha kwamba hii ni kuwaandaa watoto kuwa wezi na mafisadi. Tunaelewa wanavyofaidika na wizi ktk siasa na hawataki kujali kwamba hilo ni kosa. Lakini ukweli ni kwamba pole pole mapinmduzi ya kijeshi yanarudi Afrika. Ni miaka michache ijayo tutaelewa usalama wenu na wa watoto ktk siasa.

Kwa hali ya nchi ilivyo naamini hakuna anayewatakia mema wanasiasa maana hawajali kabisa na hawana aibu ya kutangaza watoto wao kuingia ktk siasa kwa kisingizio chochote. Tuko pamoja.
Najiuliza kama mtoto wa Samia ndo angekuwa ametekwa tangu tar 7 je, wangesubili hadi Hamas watoe video ya mauaji kweli?

Hii tabia ya kuamini wako salama na vitoto vyao....! Na sasa vikiingia tu, nao utakuiwa mradi wa kuchota pesa za serikali na kuvigawia. Vinaanza wizi kabla hata ya kujua kutunza penseli zao.
 
Nimeona wanasiasa wakishindana kuingiza watoto wao ktk siasa kana kwamba ni sehemu nzuri ya makuzi yao. Naona Mwigulu, Slaa, nk. wote wanatangaza vitoto vyao ktk siasa na huenda rushwa inatembea ili vishinde. Wakati huo huo wengine wanaambiwa kuna fursa Israel, pamoja na hatari ya vita. Matatizo yakitokea Hakuna anayejali.

Ukweli unajionesha kwamba hii ni kuwaandaa watoto kuwa wezi na mafisadi. Tunaelewa wanavyofaidika na wizi ktk siasa na hawataki kujali kwamba hilo ni kosa. Lakini ukweli ni kwamba pole pole mapinmduzi ya kijeshi yanarudi Afrika. Ni miaka michache ijayo tutaelewa usalama wenu na wa watoto ktk siasa.

Kwa hali ya nchi ilivyo naamini hakuna anayewatakia mema wanasiasa maana hawajali kabisa na hawana aibu ya kutangaza watoto wao kuingia ktk siasa kwa kisingizio chochote. Tuko pamoja.
Ccm imesha jifanya kama kikundi cha kikoba.
Yaani umi tamka jina la kiongozi una kuta ni wale wale tangu uhuru. Mambo ya kishenzi sana.
 
nasisi tuandae watoto wetu kuwa waasi, shida yetu tunalalamika sana baadala ya kuchukua hatua.

Hawa watu wamelewa sana, baada ya kuona ni amani kwao hata wakifanya lolote lile.
 
Nimeona wanasiasa wakishindana kuingiza watoto wao ktk siasa kana kwamba ni sehemu nzuri ya makuzi yao. Naona Mwigulu, Slaa, nk. wote wanatangaza vitoto vyao ktk siasa na huenda rushwa inatembea ili vishinde. Wakati huo huo wengine wanaambiwa kuna fursa Israel, pamoja na hatari ya vita. Matatizo yakitokea Hakuna anayejali.

Ukweli unajionesha kwamba hii ni kuwaandaa watoto kuwa wezi na mafisadi. Tunaelewa wanavyofaidika na wizi ktk siasa na hawataki kujali kwamba hilo ni kosa. Lakini ukweli ni kwamba pole pole mapinmduzi ya kijeshi yanarudi Afrika. Ni miaka michache ijayo tutaelewa usalama wenu na wa watoto ktk siasa.

Kwa hali ya nchi ilivyo naamini hakuna anayewatakia mema wanasiasa maana hawajali kabisa na hawana aibu ya kutangaza watoto wao kuingia ktk siasa kwa kisingizio chochote. Tuko pamoja.
Hao Hamas hawakupeleleza Idd Amin alipatwa na nini baada ya kumwaga damu za watanzania? Hawakupeleleza kilichowapata wale magaidi uchwara wa Kibiti na Mkuranga walipomwaga damu za watanzania?
Damu ya watanzania wasio na hatia iliyomwagwa na Hamas itawapa taabu kuu ambayo hawakutarajia!
Israel kuamua kuingia Gaza kwa kile walichokiita ground operation na kufumua nyumba, mahandaki ,misikiti na kusawazisha kabisa ile aridhi yote hiyo sababu ni kwamba damu ya Mtanzania huwa haichezewi.
Hamas baada ya kitendo kile wamegeuka panya wanaishi kwa kuhamahama kwenye mashimo huku wakiacha nyumba zao za fahari zikichezewa na kunyewa na IDF.
Baadhi ya Hamas wameonekana wakijisalimisha huku wamevuliwa nguo zote wakilia kilio kikuu, hawana maji, wala chakula, wanajuta.
Damu ya watanzania itafungua ukurasa mpya ukanda wa Gaza na Palestina kwa ujumla.
Damu ya watanzania itawazika Hamas milele ,hawataonekana tena kwenye uso wa dunia na Gaza itazaliwa upya ikiwa na chama kipya na uongozi mpya kabisa.
Wengi wa viongozi wa Hamas wameuawa na wengine wamejificha kwenye mashimo wakila vumbi, vinyesi na mikojo.

Damu ya watanzania imeenda na Hamas hawataonekana tena.
 
Vitoto vimesomeshwa shule ghali kuja kuwa vijizi vya mbelen
 
Huu upuuzi wa kinachoendelea ndani ya CCM unatakiwa kukemewa. Chama Cha Mapinduzi kinajulikana kama Chama Cha wakulima na wafanyakazi lakini leo hii kinataka kugeuzwa kuwa chama cha matajiri na viongozi serikalini. CCM kuna mahali kunapwaya na kiongozi Mama samia unatakiwa kusimama imara.
 
Back
Top Bottom