arym
JF-Expert Member
- Feb 21, 2022
- 210
- 112
umenifanya nicheke ka chiz5 Yesu.
Hii ni moja ya concept ya kipumbavu ambayo imepewa promo!! Upuuzi mtupu.
6 Firigisi
Nyama ya kipumbavu ambayo imepewa promo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umenifanya nicheke ka chiz5 Yesu.
Hii ni moja ya concept ya kipumbavu ambayo imepewa promo!! Upuuzi mtupu.
6 Firigisi
Nyama ya kipumbavu ambayo imepewa promo
Wee mbussu muhimu sanaaa tena sanaaMbususu
yesu bila kupepesa macho
mudi wa simba au kuwa kama mdau aliyesema yesu straight6. Mudi
We jamaa upo serious kupita maelezo😂6 Firigisi
Nyama ya kipumbavu ambayo imepewa promo
Jina lenyewe kizibo..akili kisoda..5 Yesu.
Hii ni moja ya concept ya kipumbavu ambayo imepewa promo!! Upuuzi mtupu.
6 Firigisi
Nyama ya kipumbavu ambayo imepewa promo
kapewa promo ya kufa mtu,5 Yesu.
Hii ni moja ya concept ya kipumbavu ambayo imepewa promo!! Upuuzi mtupu.
6 Firigisi
Nyama ya kipumbavu ambayo imepewa promo
Wee mbussu muhimu sanaaa tena sanaa
Kwwli warembo inabidi watupe mbususu bure kabisa maana wao wenyewe wamepewa bure....sasa sielewi kwa nini wanataka mpaka tuilipieNi sawa ila hiyo promo imepewa ni hatari sana. Yaani mbususu inaonekana ina thamani sana mpaka tunapigwa vizinga vya nguvu ili kuipata. Wakati ni kawaida kabisa, mbususu inapaswa ichakatwe vilivyo bila hiyana ama kipingamizi chochote.
kuku wa kuchoma mkuu na ndiziKuku
Kuna kitu kitimoto kavu ya kukaangwa. Huwa nikirudi nayo familia inakuwa na amani sana
kila ulichotaja ni muhimu hakuna kilicho overrated, lkn kila kitu kwa kiasi, hata oksijen nyingi kupita kiasi ni mbaya kwa afya, watu hatuna kiasiZa asubuhi wanajamii,
Kwa miaka michache niliyoishi duniani nimegundua kuna vitu ambavyo watu wamevipa thamani kubwa kuliko inavyostahili. Baadhi ya hivyo vitu ni,
1. Mapenzi, jamii imetia mkazo sana kwenye hili hasa vijana. Hili ni chanjo kimojawapo cha kuzorotesha uchumi na kupoteza muda wa uzalishaji bila sababu yoyote. Jamii nyingi ambazo hazina discipline kwenye kushughulikia suala la mapenzi zimeharibika Kwa magonjwa, umaskini nk. Lakini mapenzi yanavyopewa kipaumbele hata Kwa vijana wasiooa au kuolewa ambao hawapaswi kuyafanya utashangaa.
2. Dini. Hii sitaizungumza sana Kwa sababu ambazo mnazijua na msizozijua
3. Fedha. Watu wanakwambia pesa ni Kila kitu. Tunatoa mkazo kwenye kuzitafuta mpaka tunashindwa kuishi
4. Pombe. Huo umuhimu was pombe unaosisitizwa mpaka Uzi wake jamii forum unakuwa na wachangiaji zaidi ya laki moja haupo. Pamoja na kutokuwa na umuhimu wowote pombe ni chanzo Cha kuharibika Kwa familia nyingi Dana hapa nchini.
Tafadhali ongezea vitu vingine kwenye jamii yetu ya kitanzania ambavyo vipo over-rated unnecessarily ili tupate kujifunza na kuepuka madhara yake.
Karibuni
mkuu kuna kitimoto unamega kama mkate. wewe hujakutana na mafundikuku wa kuchoma mkuu na ndizi
Hii ni moja ya concept ya kipumbavu ambayo imepewa promo!! Upuuzi mtupu.
6 Firigisi
Nyama ya kipumbavu ambayo imepewa promo