Vitu 4 ambavyo vimekuwa overrated Duniani

Vitu 4 ambavyo vimekuwa overrated Duniani

"PENGO LAKO HALITAZIBIKA"..


Hii kauli ni Overrated saaana na ni Uongo mtupu,,, Yoyote anayeishi kwa kuamini hii kauli hakika amepotea kabla hajapotea....


The truth is Everything can be replaced
Wapambe walimwaminisha magufuli bila yy hii nchi itasimama. Lakn naona kaondoka na nchi inaendelea na maisha kama kawa
 
Za asubuhi wanajamii,
Kwa miaka michache niliyoishi duniani nimegundua kuna vitu ambavyo watu wamevipa thamani kubwa kuliko inavyostahili. Baadhi ya hivyo vitu ni,
1. Mapenzi, jamii imetia mkazo sana kwenye hili hasa vijana. Hili ni chanjo kimojawapo cha kuzorotesha uchumi na kupoteza muda wa uzalishaji bila sababu yoyote. Jamii nyingi ambazo hazina discipline kwenye kushughulikia suala la mapenzi zimeharibika Kwa magonjwa, umaskini nk. Lakini mapenzi yanavyopewa kipaumbele hata Kwa vijana wasiooa au kuolewa ambao hawapaswi kuyafanya utashangaa.
2. Dini. Hii sitaizungumza sana Kwa sababu ambazo mnazijua na msizozijua
3. Fedha. Watu wanakwambia pesa ni Kila kitu. Tunatoa mkazo kwenye kuzitafuta mpaka tunashindwa kuishi
4. Pombe. Huo umuhimu wa pombe unaosisitizwa mpaka Uzi wake jamii forum unakuwa na wachangiaji zaidi ya laki moja haupo. Pamoja na kutokuwa na umuhimu wowote pombe ni chanzo Cha kuharibika Kwa familia nyingi Dana hapa nchini.
Tafadhali ongezea vitu vingine kwenye jamii yetu ya kitanzania ambavyo vipo over-rated unnecessarily ili tupate kujifunza na kuepuka madhara yake.
Karibuni
5. Football
 
We mapenzi unayajua kweli wewe!? Au mkisikia mapenzi ni boyfriend na girlfriend au unajua ni kwichi kwichi!!

Mapenzi ni uwanja mpana, hili linaendana na neno UPENDO mzee bila upendo dunia sio sehemu salama tena.. umeyafikiria mapenzi ya wazazi kwenda kwa watoto, ama watoto kwa wazazi wao, vipi upendo wa majirani, rafiki na jamaa umeufikiria pia?
Ushajaribu kufikiria ingekuwaje?
Ondoa hup upendo was wazazi na majorani, watpto. Mapenzi ya mwanamkevna mwanaume tumeyapa kipaumbele kikubwa kisicho na maana
 
Za asubuhi wanajamii,
Kwa miaka michache niliyoishi duniani nimegundua kuna vitu ambavyo watu wamevipa thamani kubwa kuliko inavyostahili. Baadhi ya hivyo vitu ni,
1. Mapenzi, jamii imetia mkazo sana kwenye hili hasa vijana. Hili ni chanjo kimojawapo cha kuzorotesha uchumi na kupoteza muda wa uzalishaji bila sababu yoyote. Jamii nyingi ambazo hazina discipline kwenye kushughulikia suala la mapenzi zimeharibika Kwa magonjwa, umaskini nk. Lakini mapenzi yanavyopewa kipaumbele hata Kwa vijana wasiooa au kuolewa ambao hawapaswi kuyafanya utashangaa.
2. Dini. Hii sitaizungumza sana Kwa sababu ambazo mnazijua na msizozijua
3. Fedha. Watu wanakwambia pesa ni Kila kitu. Tunatoa mkazo kwenye kuzitafuta mpaka tunashindwa kuishi
4. Pombe. Huo umuhimu wa pombe unaosisitizwa mpaka Uzi wake jamii forum unakuwa na wachangiaji zaidi ya laki moja haupo. Pamoja na kutokuwa na umuhimu wowote pombe ni chanzo Cha kuharibika Kwa familia nyingi Dana hapa nchini.
Tafadhali ongezea vitu vingine kwenye jamii yetu ya kitanzania ambavyo vipo over-rated unnecessarily ili tupate kujifunza na kuepuka madhara yake.
Karibuni
Unakunywa pombe?
Kama hunywi acha kuiongelea na kuishushia heshima kiasi hicho.
Mvinyo upo hata kabla ya dini kuwepo, achana kabisa na hii kitu ndgu yangu.
 
Za asubuhi wanajamii,
Kwa miaka michache niliyoishi duniani nimegundua kuna vitu ambavyo watu wamevipa thamani kubwa kuliko inavyostahili. Baadhi ya hivyo vitu ni,
1. Mapenzi, jamii imetia mkazo sana kwenye hili hasa vijana. Hili ni chanjo kimojawapo cha kuzorotesha uchumi na kupoteza muda wa uzalishaji bila sababu yoyote. Jamii nyingi ambazo hazina discipline kwenye kushughulikia suala la mapenzi zimeharibika Kwa magonjwa, umaskini nk. Lakini mapenzi yanavyopewa kipaumbele hata Kwa vijana wasiooa au kuolewa ambao hawapaswi kuyafanya utashangaa.
2. Dini. Hii sitaizungumza sana Kwa sababu ambazo mnazijua na msizozijua
3. Fedha. Watu wanakwambia pesa ni Kila kitu. Tunatoa mkazo kwenye kuzitafuta mpaka tunashindwa kuishi
4. Pombe. Huo umuhimu wa pombe unaosisitizwa mpaka Uzi wake jamii forum unakuwa na wachangiaji zaidi ya laki moja haupo. Pamoja na kutokuwa na umuhimu wowote pombe ni chanzo Cha kuharibika Kwa familia nyingi Dana hapa nchini.
Tafadhali ongezea vitu vingine kwenye jamii yetu ya kitanzania ambavyo vipo over-rated unnecessarily ili tupate kujifunza na kuepuka madhara yake.
Karibuni
Umeshasema vitu vinne sasa tuongeze vp?
 
Za asubuhi wanajamii,
Kwa miaka michache niliyoishi duniani nimegundua kuna vitu ambavyo watu wamevipa thamani kubwa kuliko inavyostahili. Baadhi ya hivyo vitu ni,
1. Mapenzi, jamii imetia mkazo sana kwenye hili hasa vijana. Hili ni chanjo kimojawapo cha kuzorotesha uchumi na kupoteza muda wa uzalishaji bila sababu yoyote. Jamii nyingi ambazo hazina discipline kwenye kushughulikia suala la mapenzi zimeharibika Kwa magonjwa, umaskini nk. Lakini mapenzi yanavyopewa kipaumbele hata Kwa vijana wasiooa au kuolewa ambao hawapaswi kuyafanya utashangaa.
2. Dini. Hii sitaizungumza sana Kwa sababu ambazo mnazijua na msizozijua
3. Fedha. Watu wanakwambia pesa ni Kila kitu. Tunatoa mkazo kwenye kuzitafuta mpaka tunashindwa kuishi
4. Pombe. Huo umuhimu wa pombe unaosisitizwa mpaka Uzi wake jamii forum unakuwa na wachangiaji zaidi ya laki moja haupo. Pamoja na kutokuwa na umuhimu wowote pombe ni chanzo Cha kuharibika Kwa familia nyingi Dana hapa nchini.
Tafadhali ongezea vitu vingine kwenye jamii yetu ya kitanzania ambavyo vipo over-rated unnecessarily ili tupate kujifunza na kuepuka madhara yake.
Karibuni
@maramojatu kwa kweli Kama hujui umuhimu wa fedha kwenye ulimwengu huu, hakika una maisha mazuri
 
Za asubuhi wanajamii,
Kwa miaka michache niliyoishi duniani nimegundua kuna vitu ambavyo watu wamevipa thamani kubwa kuliko inavyostahili. Baadhi ya hivyo vitu ni,
1. Mapenzi, jamii imetia mkazo sana kwenye hili hasa vijana. Hili ni chanjo kimojawapo cha kuzorotesha uchumi na kupoteza muda wa uzalishaji bila sababu yoyote. Jamii nyingi ambazo hazina discipline kwenye kushughulikia suala la mapenzi zimeharibika Kwa magonjwa, umaskini nk. Lakini mapenzi yanavyopewa kipaumbele hata Kwa vijana wasiooa au kuolewa ambao hawapaswi kuyafanya utashangaa.
2. Dini. Hii sitaizungumza sana Kwa sababu ambazo mnazijua na msizozijua
3. Fedha. Watu wanakwambia pesa ni Kila kitu. Tunatoa mkazo kwenye kuzitafuta mpaka tunashindwa kuishi
4. Pombe. Huo umuhimu wa pombe unaosisitizwa mpaka Uzi wake jamii forum unakuwa na wachangiaji zaidi ya laki moja haupo. Pamoja na kutokuwa na umuhimu wowote pombe ni chanzo Cha kuharibika Kwa familia nyingi Dana hapa nchini.
Tafadhali ongezea vitu vingine kwenye jamii yetu ya kitanzania ambavyo vipo over-rated unnecessarily ili tupate kujifunza na kuepuka madhara yake.
Karibuni
Pombe ndio ya kipumbavu sana....najua walevi watawaka ila sijawahi kuona mnywa pombe mwenye akili hata mmoja.
We watazame walevi wakiamka asubuhi utajiuliza walikunywa ya nini?...ukishalewa lazima upoteze direction ndio maana wanawake kwa wanaume yanawakuta mazito sana....matokeo yake pombe kesho zikiwatoka wanashangaa hivi ni mimi wamenifanyia hivi?..Foolish indeed..

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu umekosea vitu viwili hapo

1.Bila mapenzi baina ya wazazi wako usingezaliwa.

2.Pesa ndo imefanikisha malezi yako mpaka hapo ulipo.
 
Mkuu umekosea vitu viwili hapo

1.Bila mapenzi baina ya wazazi wako usingezaliwa.

2.Pesa ndo imefanikisha malezi yako mpaka hapo ulipo.
Asante Nelly, nakubaliana na wewe lakini jamii yetu ina-rate hivi vitu isivyo.
 
Pombe ndio ya kipumbavu sana....najua walevi watawaka ila sijawahi kuona mnywa pombe mwenye akili hata mmoja.
We watazame walevi wakiamka asubuhi utajiuliza walikunywa ya nini?...ukishalewa lazima upoteze direction ndio maana wanawake kwa wanaume yanawakuta mazito sana....matokeo yake pombe kesho zikiwatoka wanashangaa hivi ni mimi wamenifanyia hivi?..Foolish indeed..

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Mkuu kwanini unaharibu bando lako kuisimanga pombe.Pombe umeikuta duniani na utaiacha

Achana na pombe mkuu fata maisha yako
 
Mkuu kwanini unaharibu bando lako kuisimanga pombe.Pombe umeikuta duniani na utaiacha

Achana na pombe mkuu fata maisha yako
Bando sio shida usijali...
Suala la mimi kuikuta pombe na kuiacha ni kweli..
Ila pombe ni baba wa maasi duniani...
Ukirudi kiafya ndio balaa...Sumu kali kabisa....umewahi kusikia harufu ya mkojo au jasho la mlevi?..ndio ujue sasa...

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom