Vitu 4 ambavyo vimekuwa overrated Duniani

5 Yesu.

Hii ni moja ya concept ya kipumbavu ambayo imepewa promo!! Upuuzi mtupu.

6 Firigisi
Nyama ya kipumbavu ambayo imepewa promo
umenifanya nicheke ka chiz
 
Unajua maana ya neno 'overrated'? Nina wasiwasi hujui ndio maana hata umekosea kuliandika na hiyo mifano yako haiendani na maana ya hilo neno
 
Unasema jambo lipo overrated halafu unasema hutaki kuzungumzia ni kwa namna gani, hii ni dalili ya ugonjwa gani?
 
Ni sawa ila hiyo promo imepewa ni hatari sana. Yaani mbususu inaonekana ina thamani sana mpaka tunapigwa vizinga vya nguvu ili kuipata. Wakati ni kawaida kabisa, mbususu inapaswa ichakatwe vilivyo bila hiyana ama kipingamizi chochote.
Wee mbussu muhimu sanaaa tena sanaa
 
Ni sawa ila hiyo promo imepewa ni hatari sana. Yaani mbususu inaonekana ina thamani sana mpaka tunapigwa vizinga vya nguvu ili kuipata. Wakati ni kawaida kabisa, mbususu inapaswa ichakatwe vilivyo bila hiyana ama kipingamizi chochote.
Kwwli warembo inabidi watupe mbususu bure kabisa maana wao wenyewe wamepewa bure....sasa sielewi kwa nini wanataka mpaka tuilipie
 
kila ulichotaja ni muhimu hakuna kilicho overrated, lkn kila kitu kwa kiasi, hata oksijen nyingi kupita kiasi ni mbaya kwa afya, watu hatuna kiasi
 
vitu vya vya watoto, matangazo yamewaaminisha watu kuwa watoto na wajawazito wanahitaji makorokoro mengi ambayo kiuhalisia hayana umuhimu kihivyo zaidi ya kutoboa mifuko yetu. Na sio vya watoto tu vitu vitu vingi havina umuhimu tunanunua kisa vinatangazwa kila siku
 
."Hili ni chanjo kimojawapo cha kuzorotesha uchumi na kupoteza muda wa uzalishaji bila sababu yoyote"

then ukaja kusema pesa n overrated unatafuta pesa ad unasahau kuish sasa huo uchum utasimama vip bira kua na pesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…