Vitu ambavyo hupaswi kuvifanya kwenye maisha ya kila siku

Vitu ambavyo hupaswi kuvifanya kwenye maisha ya kila siku

proxy

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
1,479
Reaction score
1,348
Hivi ni kaadhi ya vitu ambavyo hutakiwa kuvifanya kwenye maisha.

1) Kamwe usiruhusu heshima yako ishuke,kwa namna yeyote ile .Jiheshimu na hakikisha heshima yako inabaki kwa kiwango kile kile.

2) Usimdharau yeyote yule kwa sababu ya umbile , rangi yake, kabila, jinsia hata ulemavu wake. Maana huwezi jua kesho yako.

3) Usiruhusu pombe/Madawa ya kulevya yawe ndio chanzo cha furaha yako,hii itakufanya uwe mtumwa mkubwa wa hivyo vitu na athari zake utaharibikiwa kabisa.

4) Kamwe usianze kudanganya ukiwa kwenye uhusiano au kwenye ndoa.

5) Kamwe usimchukia mtu yeyote kwa kile alichokutendea msamehe tu na maisha yaendelee.

6) Usiwe mwenye kuhukumu hivyo. Huwezi jua mtu anapigana vita vya aina gani.

7) Kamwe usianze kuwapuuza watu wanaokupenda unapofanikisha kitu maishani, utagundua umechelewa sana ulichopoteza.

8) Usiwapuuze wazazi wako ni dhambi mbaya zaidi ambayo mtu hatakiwi kuanza kuifanya.

9) Kamwe usianzishe porojo za uwongo juu ya watu, ni dhambi kubwa.
Naomba kuwasilisha.
 
Hivi ni kaadhi ya vitu ambavyo hutakiwa kuvifanya kwenye maisha.

1) Kamwe usiruhusu heshima yako ishuke,kwa namna yeyote ile .Jiheshimu na hakikisha heshima yako inabaki kwa kiwango kile kile.

2) Usimdharau yeyote yule kwa sababu ya umbile , rangi yake, kabila, jinsia hata ulemavu wake. Maana huwezi jua kesho yako.

3) Usiruhusu pombe/Madawa ya kulevya yawe ndio chanzo cha furaha yako,hii itakufanya uwe mtumwa mkubwa wa hivyo vitu na athari zake utaharibikiwa kabisa.

4) Kamwe usianze kudanganya ukiwa kwenye uhusiano au kwenye ndoa.

5) Kamwe usimchukia mtu yeyote kwa kile alichokutendea msamehe tu na maisha yaendelee.

6) Usiwe mwenye kuhukumu hivyo. Huwezi jua mtu anapigana vita vya aina gani.

7) Kamwe usianze kuwapuuza watu wanaokupenda unapofanikisha kitu maishani, utagundua umechelewa sana ulichopoteza.

8) Usiwapuuze wazazi wako ni dhambi mbaya zaidi ambayo mtu hatakiwi kuanza kuifanya.

9) Kamwe usianzishe porojo za uwongo juu ya watu, ni dhambi kubwa.
Naomba kuwasilisha.
bila shaka haya ni mawazo yako tu
 
Huwezi kutunza heshima yako isishuke wakati hauna pesa tena ukilazimisha kutunza heshima huku hauna pesa ndo unazidi kuonekana mwendawazimu

Kwanza hayo mambo yako we mwenyewe huyatekelezi
 
Maisha hayana fomular haya ishi unavoweza acha kuishi kwa sheria uko huru hauko jela
 
Hivi ni kaadhi ya vitu ambavyo hutakiwa kuvifanya kwenye maisha.

1) Kamwe usiruhusu heshima yako ishuke,kwa namna yeyote ile .Jiheshimu na hakikisha heshima yako inabaki kwa kiwango kile kile.

2) Usimdharau yeyote yule kwa sababu ya umbile , rangi yake, kabila, jinsia hata ulemavu wake. Maana huwezi jua kesho yako.

3) Usiruhusu pombe/Madawa ya kulevya yawe ndio chanzo cha furaha yako,hii itakufanya uwe mtumwa mkubwa wa hivyo vitu na athari zake utaharibikiwa kabisa.

4) Kamwe usianze kudanganya ukiwa kwenye uhusiano au kwenye ndoa.

5) Kamwe usimchukia mtu yeyote kwa kile alichokutendea msamehe tu na maisha yaendelee.

6) Usiwe mwenye kuhukumu hivyo. Huwezi jua mtu anapigana vita vya aina gani.

7) Kamwe usianze kuwapuuza watu wanaokupenda unapofanikisha kitu maishani, utagundua umechelewa sana ulichopoteza.

8) Usiwapuuze wazazi wako ni dhambi mbaya zaidi ambayo mtu hatakiwi kuanza kuifanya.

9) Kamwe usianzishe porojo za uwongo juu ya watu, ni dhambi kubwa.
Naomba kuwasilisha.
2) Usimdharau yeyote yule kwa sababu ya umbile , rangi yake, kabila, jinsia hata ulemavu wake. Maana huwezi jua kesho yako.

3) Usiruhusu pombe/Madawa ya kulevya yawe ndio chanzo cha furaha yako,hii itakufanya uwe mtumwa mkubwa wa hivyo vitu na athari zake utaharibikiwa kabisa.

Hapa me ndo nimekuelewa, hayo mengine magumu kwakweli....!!!
 
Jamaa namshangaa,kutunza heshima siyo juhudi binafsi.Yaan heshima inakuja tu kulingana hali kadhaa unazokuwa ukipitia.So huwezi eti kujihangaisha kuitunza.
 
Hivi ni kaadhi ya vitu ambavyo hutakiwa kuvifanya kwenye maisha.

1) Kamwe usiruhusu heshima yako ishuke,kwa namna yeyote ile .Jiheshimu na hakikisha heshima yako inabaki kwa kiwango kile kile.

2) Usimdharau yeyote yule kwa sababu ya umbile , rangi yake, kabila, jinsia hata ulemavu wake. Maana huwezi jua kesho yako.

3) Usiruhusu pombe/Madawa ya kulevya yawe ndio chanzo cha furaha yako,hii itakufanya uwe mtumwa mkubwa wa hivyo vitu na athari zake utaharibikiwa kabisa.

4) Kamwe usianze kudanganya ukiwa kwenye uhusiano au kwenye ndoa.

5) Kamwe usimchukia mtu yeyote kwa kile alichokutendea msamehe tu na maisha yaendelee.

6) Usiwe mwenye kuhukumu hivyo. Huwezi jua mtu anapigana vita vya aina gani.

7) Kamwe usianze kuwapuuza watu wanaokupenda unapofanikisha kitu maishani, utagundua umechelewa sana ulichopoteza.

8) Usiwapuuze wazazi wako ni dhambi mbaya zaidi ambayo mtu hatakiwi kuanza kuifanya.

9) Kamwe usianzishe porojo za uwongo juu ya watu, ni dhambi kubwa.
Naomba kuwasilisha.
Iyo namba tano napiga a na wewe.
 
Back
Top Bottom