Vitu ambavyo hupaswi kuvifanya kwenye maisha ya kila siku

Vitu ambavyo hupaswi kuvifanya kwenye maisha ya kila siku

4) Kamwe usianze kudanganya ukiwa kwenye uhusiano au kwenye ndoa.

5) Kamwe usimchukia mtu yeyote kwa kile alichokutendea msamehe tu na maisha yaendelee.

6) Usiwe mwenye kuhukumu hivyo. Huwezi jua mtu anapigana vita vya aina gani.

7) Kamwe usianze kuwapuuza watu wanaokupenda unapofanikisha kitu maishani, utagundua umechelewa sana ulichopoteza.

8) Usiwapuuze wazazi wako ni dhambi mbaya zaidi ambayo mtu hatakiwi kuanza kuifanya.

9) Kamwe usianzishe porojo za uwongo juu ya watu, ni dhambi kub
No4 tumeagizwa tuishi nao kwa akili! ukiwa mkweli utaumia!
5. ukisamehe wakati hajaomba msamaha humtendei haki!! unafaa kushtakiwa wewe!! kwa kosa la kukiuka haki za binadamu!
6.ukiona nahukumu ni wewe umehukumu kwa kudhania!
7.wakijiona dhaifu, wao na wivu juu yangu! ni wao wajirekebishe siyo mimi!
8. wanaweza kuni puuza wao kwa kuhofia utajiri wangu!
9.propaganda siyo uongo upo kisheria! na bila propaganda siasa itakushinda funguka weyey mmakonde! umenisikia???????
 
Mkuu Asante sana kwa uzi wako uliojitosheleza Asante kabisa nimeusoma na screen shot. Ila namba 5 mkuu napingana na wewe. Yani kuna demu flani Tulia chana. Akifa nitafanya sherehe. Namuombea mabaya kila siku. Mwaka jana mwezi wa 7 nilipanga kumuua nami nijiue murder suicide sema aikupangwa hivyo tangu tuzaliwe. Every single second and every fakin beat of my weak heart Namuombea mabaya. JF imenisaidiaga sana na hii stress kwasababu naingiaga humu kuwachokonoa watu na kuwawini kisaikolojia basi wakinitukanaga ndio furaha yangu kwasababu hapo tunaumia pamojanasahau nayo pitia napata faraja. Afe tu huyo binti nilimuomba GA Yesu anipe faraja ya kudumu kwa kumuondoa lakini Yesu ni pendo anamuacha na kupotezea anadunda tu.
Funguka bana tukusaidie kuua huku!! alikufanyaje? vinginevo unastahili maumivu!
 
1) Kamwe usiruhusu heshima yako ishuke,kwa namna yeyote ile
Halafu hata hujui hii!! Yesu alishuka chini mpaka akatemewa mate na maskini! na wajinga!! mpaka leo hii, wengine hawataki kumtambua/amini! lkn bado hajashuka kuwapa kichapo sasa!! weye mmakonde tu! ni nani hutaki kushuka!!

hivi dogo umekula kweli leo??

jamani mkija humu kuandika chochote mlege kwanza japo chips dume!
 
Back
Top Bottom