Vitu ambavyo hupaswi kuvifanya kwenye maisha ya kila siku

No4 tumeagizwa tuishi nao kwa akili! ukiwa mkweli utaumia!
5. ukisamehe wakati hajaomba msamaha humtendei haki!! unafaa kushtakiwa wewe!! kwa kosa la kukiuka haki za binadamu!
6.ukiona nahukumu ni wewe umehukumu kwa kudhania!
7.wakijiona dhaifu, wao na wivu juu yangu! ni wao wajirekebishe siyo mimi!
8. wanaweza kuni puuza wao kwa kuhofia utajiri wangu!
9.propaganda siyo uongo upo kisheria! na bila propaganda siasa itakushinda funguka weyey mmakonde! umenisikia???????
 
Funguka bana tukusaidie kuua huku!! alikufanyaje? vinginevo unastahili maumivu!
 
1) Kamwe usiruhusu heshima yako ishuke,kwa namna yeyote ile
Halafu hata hujui hii!! Yesu alishuka chini mpaka akatemewa mate na maskini! na wajinga!! mpaka leo hii, wengine hawataki kumtambua/amini! lkn bado hajashuka kuwapa kichapo sasa!! weye mmakonde tu! ni nani hutaki kushuka!!

hivi dogo umekula kweli leo??

jamani mkija humu kuandika chochote mlege kwanza japo chips dume!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…