Vitu ambavyo Mwanaume au Mwanamke mwenye akili timamu kamwe hawezi kufanya

Nimesoma Zaidi ya Mara sita Nikagundua Umetaja AI generated Men and Women...

Maana hao wote ni watu wa kufikirika na sio wa kweli hata kidgo...

Tatizo langu lipo kwenye 4,7,8 ,34 na 37...

Mimi na utu uzma wangu sijawahi kujua kuna vyakula vya kuvuta vinavyotoka viwandani

Ngono zembe na ngono zisizo na malengo tofauti yale ni nini? Na saba na nane ina tofauti gani..?

34.....Unajua Kazi ya Sidiria πŸ˜…πŸ˜…

37. umesemaasichunguze simu ya mumewake halafu tena asimuache mumew atumie WhatsapGb sasa hapo mbona mtihani atajuaje kama anatumia Mods whatsapp bila kugusa simu...

Anhaaa kumbe hii Ni forum ya Jokes πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Bhasi sawa
 
Kiongozi umetumia muda mwingi kubishana na mtu aliyetoroka milembe
 

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…