Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3]Ni katika eneo gani uzi haujakutendea haki?Afadhali uzi upo jukwaa la jokes
Aiseee 😝😝😝Kwa kukusaidia kiafya ni bora ukaepuka matumizi ya ngano maana ndiyo chanzo cha magonjwa mengi mtambuka yasiyoambukiza yanayotukabili wengi wetu hivi sasa.
Hivyo badala ya kubugia ngano nyingi kisha ukaanza kulalamika uzito uliopotiliza, kiungulia, vidonda vya tumbo, sumu kuzidi mwilini n.k bora ujielekeze kula vifuatavyo;
1. Mayai ni mazuri kwa afya ya ubongo wako.
2. Maji ni mazuri kwa ajili ya afya ya figo zako.
3. Kabeji ni nzuri kwa afya ya Maini yako.
4. Matango ni mazuri kwa afya ya Ngozi yako.
5. Machungwa ni mazuri kwa afya ya utumbo mpana.
6. Karoti ni nzuri kwa afya ya Macho yako.
7. Tangawizi ni nzuri kwa afya ya mapafu yako.
8. Parachichi ni zuri kwa afya ya Moyo wako.
9. Nyama ni muhimu kwa maendeleo ya seli, enzymes na homoni mwilini.
10. Pilipili nyekundu ni nzuri kwa afya ya mapafu.
11. Maharage ya kijani ni mazuri kwa afya ya mifupa.
12. Mazoezi ni mazuri kwa afya ya mwili mzima.
13. Kusoma ni jambo zuri la kiafya kwa ubongo wako.
Vitu ambavyo kamwe MWANAUME mwenye akili timamu hawezi kufanya.
2. Kutumia sukari.
UNAELEWA NINI KUHUSU SUKARI?
Mwalimu wangu wa baiologia alinifundisha kwamba kuna makundi kadhaa ya vyakula likiwemo Wanga au kitaalamu Carbohydrates!
Unavyokataa watu wasitumie sukari, unamaanisha wasitumie Wanga /carbohydrate je hilo linawezekana?
Ungesema Sukari ikizidi ina madhara ningekuelewa
Unakuaje na akili timamu wakati umelewa? [emoji1787]Wanywa pombe hawana akili timamu?
[emoji23]Nimefikiria nikuambie nini basi tu nimekosa
Shenzi
Kwani walokole hapa wanahusika vipi?Mlokole kama mlokole
Kwanza kama siyo ukafir wa kizungu na tamaduni za kuiga-iga hiyo dhana ya kukumbatiana inatoka wapi!? Jiheshimuni, salimianeni kwa mikono na mketi kwa heshima, na wa kike apige magoti (kama ina-apply) ndiyo staha, hizi mbwembwe zingine hazifai ndiyo maana hata hizo ndoa zenyewe siku hizi hazina maana.Ila basi tu. Kwa hiyo,mamkwe hakumbatiwi na mkwewe. Ila, babamkwe anaruhusiwa kumkumbatia mkamwana! Uko sahihi. Maana hapo mshua akikuonjea,usije kulialia
Nani huyo??Ukitukanwa utasema wabongo wakorofi
Nakazia📌27. Kumruhusu mwanamume wako kupika au kufua.
"Huo UNENE wenyewe ndiyo tatizo lenu mkuu"[emoji23]Duh kwani wanaume wanene tuna tatizo gani mkuu?