Vitu ambavyo vinawasumbua na kuwagharimu wengi ambavyo huwa naviona havina nafasi kwangu

Vitu ambavyo vinawasumbua na kuwagharimu wengi ambavyo huwa naviona havina nafasi kwangu

maramojatu

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2012
Posts
1,749
Reaction score
2,319
Jamani nahisi mimi nimeshindikana!

Kuna vitu ambavyo wengine huwa wanateseka kuvipata lakini mimi wala huwa sina muda navyo japo naweza kuvinunua kirahisi, mfano:

1. Kitanda... Mimi huwa nikiweka godoro chini na shuka kwenye chumba safi naweza kukaa miaka yoyote bila kununua kitanda

2. Simu, wengine wanabadili simu kila mwaka simu ninayotumia nimenumia miaka 3.5 au zaidi iliyopita

3. Aina za unyoaji wa nywele... Nikipunguza saizi moja imetoka. Hamna scrub sijui nini! Etc
Hivi na wewe unakumbwa na tatizo kama langu?
 
Jamani nahisi mimi nimeshindikana!

Kuna vitu ambavyo wengine huwa wanateseka kuvipata lakini mimi wala huwa sina muda navyo japo naweza kuvinunua kirahisi, mfano:

1. Kitanda... Mimi huwa nikiweka godoro chini na shuka kwenye chumba safi naweza kukaa miaka yoyote bila kununua kitanda

2. Simu, wengine wanabadili simu kila mwaka simu ninayotumia nimenumia miaka 3.5 au zaidi iliyopita

3. Aina za unyoaji wa nywele... Nikipunguza saizi moja imetoka. Hamna scrub sijui nini! Etc
Hivi na wewe unakumbwa na tatizo kama langu?
Punyeto vp
 
2 na 3 ni kama mimi. Kwanza kuhusu simu, sijua hata issues za simu gani ina nini, sijui imefanya nini. Ninachojua kuhusu simu ni hii my f*ckng Techno F1, ambayo nimeiongezea thamani kwa application ya Microsoft Office so vurugu zote nazifanyia humo.
Hapo kwenye kunyoa toka nipo dogo father akinipeleka kunyoa atamwambia kinyozi mtoe dongo, nadhani ilikua ni budgeting ya sabuni kwenye kuoga. Basi toka hapo hadi leo nikinyoa nakwangua zote kama mwanafunzi wa form 1 D. Inanisaidia coz mimi ni mmoja ya watu ambao wasaahaulifu kuchana nywele zinapokua ndefu.
 
Back
Top Bottom