Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣 Muongo wewe unaonyesha hata hii comment unatype ukiwa na dangaMadanga jamani🤣🤣.... nimeamua kutulia na Baba K wangu....mahawara na wakome🤣
Wanapiga ban vbaya sanaHuwa wanakutext[emoji3]
Kunywa soda nimempiga BAN ni miaka 5 sasa sinywi ya Aina yeyote ile
hongera mkuu, kwangu madem nimeweka kando,
Tatizo lipo kwenye Betting nashindwa kuacha kabsa
Mkuu ivi ushawahi kuexperience kukosa hata Mia chakavu maishani?Kiongozi soda inauzwa sh ngap labda useme mtu hana hela
Soda= Maji
Bei ya soda na maji ni sawa
Wallahi nimeacha....mtoto nna utu na utulivu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Muongo wewe unaonyesha hata hii comment unatype ukiwa na danga
Ndivo ivo sasa wengin ata huo muda wa soda hawanBasi sijawai pata hayo maisha namshukru Mungu
Bora mkuu kama una maslahi nayo kama vile biasharaHapa tuko sawa
Tik tok[emoji706]
Fb naingia kupost bidhaa za dukan
Bora mkuu kama una maslahi nayo kama vile biashara
Ila kupoteza mda na kucheka kama mwehu hapana kwa kweli
Tiktok haikunifundisha kitu kabisa na sio mfaidika kama wengine
Sas mtu anafany kaz kwa mhind analipw 10k anaend nyumban kw mguu ,mke ,watoto ,kodi iyo hela ya soda anatoa wap!?kunatofaut sasa mkuu kukosa muda na kukosa hela na kuna sisi tulio piga BAN[emoji706]
alokosa muda siku akipata muda atakunywa