Vitu gan umevipiga “BAN”

Vitu gan umevipiga “BAN”

Ndugu nami nilikuwa kama ww niliichukia sana tiktok na nilikaa mda sina hiyo app siku moja nikajatibu tena kuingia weee!!!

Niliyoyakuta huko ni mazuri huwezi kuamini yaani nilijuta kwann sikuwa nayo mda tiktok inategemea umewafollow watu gani lakini nakuhakikishia ukifollow watu wazur na wanaokupa vitu inavyotaka hakika hutaamini utakuja hapa kinishukuru download leo kisha njoo uniambie.

Watu wengi sasaivi wamewekeza nguvu zao nyingi huko yaani wanapost vitu vya maana huko kuliko mdandao wowote insta now watu wengi wameikimbia.
Shukran sana mkuu ila kama kuna hela au biashara nishtue mengine niko field kila siku napambana na maisha
Kama dili linaloniingizia hela nikipata nafanya ila mitandao kwa kweli nimewaachia vijana

Alibaba natumia kwa kununua bidhaa ila fb wanasema kuna biashara pia ila wengi wamelizwa
Socializing natoka sana na safari za wiki au wiki mbili nasafiri sana na hizo zinanitosha sana kwani naonana na watu live badala ya emoji za kucheka
 
Piga BAN Anasa ,Pombe,kitimoto,zinaa,Bangi,sigara,unga ,Ps,kuhonga, nk
Ushuhuda ninao mwenyewe,

Kuna kipindi nilipiga BAN anasa ulizoainisha hapo (Pombe,bangi,sigara ,wanawake na niliacha kujibizana au kutukana mtu aliyenikera, kwa kifupi nilikuwa cool kabisa,sikujihusisha na mijadala wala mabishano yoyote isiyo/yasiyo na tija.

Ndani ya muda mfupi nilijikuta nina amani moyoni,ni ile raha fulani isiyo na kifani, ngozi inanawiri(kunenepa),unakula vizuri,usingizi wa kutosha na kadhalika na unakuwa na nishati chanya (positive energy) na mambo mengi unakuwa unafanikisha kiurahisi.

Nikabaini; Anasa, lugha chafu mdomoni, na mabishano yasiyo ya msingi yanasababisha nishati hasi (negative energy) inayoitesa akili na kunyonya mwili.
 
Ushuhuda ninao mwenyewe,

Kuna kipindi nilipiga BAN anasa ulizoainisha hapo (Pombe,bangi,sigara ,wanawake na niliacha kujibizana au kutukana mtu aliyenikera, kwa kifupi nilikuwa cool kabisa,sikujihusisha na mijadala wala mabishano yoyote isiyo/yasiyo na tija.

Ndani ya muda mfupi nilijikuta nina amani moyoni,ni ile raha fulani isiyo na kifani, ngozi inanawiri(kunenepa),unakula vizuri,usingizi wa kutosha na kadhalika na unakuwa na nishati chanya (positive energy) na mambo mengi unakuwa unafanikisha kiurahisi.

Nikabaini; Anasa, lugha chafu mdomoni, na mabishano yasiyo ya msingi yanasababisha nishati hasi (negative energy) inayoitesa akili na kunyonya mwili.
Shukrani sana kwa ushuhuda mkuu
 
Vitu Nilivovipiga ban 2023

1.Marafiki wanafiki[emoji706]
2.Rafiki asiye na faida [emoji706]
3.Xxx.com[emoji706]
4.Instagram [emoji706]
5. Pombe aina ya Bia[emoji706]
Vitu nilivopiga ban toka mwaka 2016
1 marafiki wanafiki
2 facebook
3 instagram
4 tiktok
5 snapchart
6 twitter
7 madem
8 ahad zisizo na maana
9 kusengenya
10 kushobokea mtu
 
Back
Top Bottom