Vitu gan umevipiga “BAN”

Vitu gan umevipiga “BAN”

Ushuhuda ninao mwenyewe,

Kuna kipindi nilipiga BAN anasa ulizoainisha hapo (Pombe,bangi,sigara ,wanawake na niliacha kujibizana au kutukana mtu aliyenikera, kwa kifupi nilikuwa cool kabisa,sikujihusisha na mijadala wala mabishano yoyote isiyo/yasiyo na tija.

Ndani ya muda mfupi nilijikuta nina amani moyoni,ni ile raha fulani isiyo na kifani, ngozi inanawiri(kunenepa),unakula vizuri,usingizi wa kutosha na kadhalika na unakuwa na nishati chanya (positive energy) na mambo mengi unakuwa unafanikisha kiurahisi.

Nikabaini; Anasa, lugha chafu mdomoni, na mabishano yasiyo ya msingi yanasababisha nishati hasi (negative energy) inayoitesa akili na kunyonya mwili.

Inaonekana mtu wa kutukana sana chalii angu [emoji23]
 
Ushuhuda ninao mwenyewe,

Kuna kipindi nilipiga BAN anasa ulizoainisha hapo (Pombe,bangi,sigara ,wanawake na niliacha kujibizana au kutukana mtu aliyenikera, kwa kifupi nilikuwa cool kabisa,sikujihusisha na mijadala wala mabishano yoyote isiyo/yasiyo na tija.

Ndani ya muda mfupi nilijikuta nina amani moyoni,ni ile raha fulani isiyo na kifani, ngozi inanawiri(kunenepa),unakula vizuri,usingizi wa kutosha na kadhalika na unakuwa na nishati chanya (positive energy) na mambo mengi unakuwa unafanikisha kiurahisi.

Nikabaini; Anasa, lugha chafu mdomoni, na mabishano yasiyo ya msingi yanasababisha nishati hasi (negative energy) inayoitesa akili na kunyonya mwili.
Ukiwa na nishati hasi utakua na mvi hata kama hujafikia umri wa kuwa na mvi za uzee
 
*Bongo fleva nilidelete zote kwenye simu sisikilizi Bongo fleva Wala nyumbani hazipigwi Bongo fleva.
*Vitu vinavyonipa negative energy mfano MTU anakuongelesha Vibaya au amekuudhi au anakuchokoza nimeamua kutumia silaha mbili kunyamaza Na kupuuzia
*Nimekata mawasiliano Na kudelete namba za wote waliokua wananipa negative energy
*Nimeachana Na Facebook Na Instagram tikitok naangalia vitu vinavyonijenga
*Nimeamua Kua Karibu Na watu ambao wako smart kichwani Na kuwaepuka watu ambao wanafikiri ujinga
 
Ushuhuda ninao mwenyewe,

Kuna kipindi nilipiga BAN anasa ulizoainisha hapo (Pombe,bangi,sigara ,wanawake na niliacha kujibizana au kutukana mtu aliyenikera, kwa kifupi nilikuwa cool kabisa,sikujihusisha na mijadala wala mabishano yoyote isiyo/yasiyo na tija.

Ndani ya muda mfupi nilijikuta nina amani moyoni,ni ile raha fulani isiyo na kifani, ngozi inanawiri(kunenepa),unakula vizuri,usingizi wa kutosha na kadhalika na unakuwa na nishati chanya (positive energy) na mambo mengi unakuwa unafanikisha kiurahisi.

Nikabaini; Anasa, lugha chafu mdomoni, na mabishano yasiyo ya msingi yanasababisha nishati hasi (negative energy) inayoitesa akili na kunyonya mwili.
Nakubaliana na wewe mkuu...

ukipiga ban hizo anasa utapata amani ya moyo nzuri Sana na utayafurahia maisha hata kama bado unajitafuta.
 
Ili usinge mbele au uishi kwa raha lazima kuna vitu uvi cut (ondoa),Block, au uvipige ban si kwa ubaya ila kwa afya ya akili yako na amani ya moyo!

Vitu hivi vinaweza kuwa vinakutia stress, au vinafanya ujisikie mnyonge, vinakuumiza, au vinakudharirisha au tu vinakurudisha nyuma au kukuzuia usisonge

Mara nyingi inaweza kua ni watu, maeneo, chakula, tabia, au chochote au ndugu!!

Sasa mwaka 2022 nilianza kupiga “BAN “ baadhi ya vitu. tangu hapo nimekua n mtu nisiyepata msongo wa mawazo na amani sana.
But bado naendelea kupiga Ban


Wewe ni Vitu gan mwaka huu 2023 umevipiga BAN?
Vitu vyote nje ya personal development, entrepreneurship na finance hususani politics, drama na dini vimekula Ban. Hadi Uzi wa INSIDER MAN nineupiga ban.
 
Back
Top Bottom