Huwezi kumpuuza mwanamke aliyenuna. Hata wenyewe wanajua. Aidha umpe tukio au ukibaki yaishe umbembeleze.Dawa ni kuwapuuza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi kumpuuza mwanamke aliyenuna. Hata wenyewe wanajua. Aidha umpe tukio au ukibaki yaishe umbembeleze.Dawa ni kuwapuuza
Basi tuko tofauti mimi huwa nauliza mara moja shida nini asiposema ndio imetoka hiyoHuwezi kumpuuza mwanamke aliyenuna. Hata wenyewe wanajua. Aidha umpe tukio au ukibaki yaishe umbembeleze.
Yani usimuongeleshe mkuu wala kumuulizaa...!! Anapima kina cha bahari kwa kuvuka na miguu kama una mchepuko wako endelea kujiliaa vyakooo.. USIMUULIZE KITUUUAliyekuwa amenuna amehamia kwenye chumba kingine yaani tulikuwa tunalala pamoja lkn kahamia kwenye chumba kingine… maana yke nini?[emoji3064]
Simply...amekuchokaMoto napeleka lkn ukiondoka ukienda kwenye mihangaiko ukirud bado unamkuta kanuna… yaani nimeona kupelekea moto sio solution kwn moto unawashwa every day
Ila na nyie jamani mna mauzi aisee! af kwa kujitia hamjui makosa yenu, unakuta mtu kakurahisha af anajitoa ufaham, unaamua tu uhame chumba tu maana hata anavopumua usiku unaona kero usije mfunika na mto bure [emoji57]Aliyekuwa amenuna amehamia kwenye chumba kingine yaani tulikuwa tunalala pamoja lkn kahamia kwenye chumba kingine… maana yke nini?[emoji3064]
Msome mwenza wako umuelewe, husaidia kujua namna sahihi ya kudili naye
HahahaDuuu wanawake sijui tunakwama wapi,,, kuna jamaa nae alikuwa anasimulia kuwa mkewe alimnunia week nzima kisa tu mwanamke alivaa nguo mpya na jamaa hakumsifia kuwa kapendeza mbaya zaidi jamaa hakujua kosa lake ni kutotambua kuwa mkewe kavaa nguo mpya.
Mwanamke anaweza kununa kwa sababu ya kitu kidogo sana na asiweze kumwambia mwenza wake ni nini tatizo , na wengi hudhani kununa ni suluhisho kumbe wanaume wanachukulia powa tu
Unakuta janajike limevuta domo kama kitumbua
Huyo lMkuu unaweza shtukia tu kitu kizito kinatua kichwani au kitu chenye ncha kali,,, halafu vyombo vya habari vitatuambia " amuua mumewe kisa wivu wa mapenzi"