Vitu gani husababisha Wanawake wanune?

Vitu gani husababisha Wanawake wanune?

Mwanamke wa hivyo hata kwenye kufanya tendo la ndoa itakuwa hata hakufurahii sana Yani wewe Mwanaume utakuwa unatimiza. Wajibu wako tu Kwa kimparamia na kumaliza basi.
 
Unawakuta mume na mkewe wapo mahala lakini ukiwatazama Ni kama mtu na dada/kaka yake! [emoji848][emoji848]

Hawakai mkao wa kimahaba baina yao!

Yani ni wakavu na u-serious kama wote!

Ni kweli kwamba sometimes majukumu yanakuwa mengi na kuchukua nafasi kubwa lakini ikimbieni kilichowaleta pamoja hapo awali ilikuwa upendo (ingawa huenda sio Kwa ndoa zote).
 
Jamani nataka niulize ni week sasa Mke wangu kanuna na sina kitu chochote nimemfanya,

Hivi vitu gani vinasababisha wanawake kununa kwani na mimi nimebaki kimya tu sasa sielewi huku kununa kwa mwenzangu kutaisha lini[emoji854]

View attachment 2254298
Picha kutoka maktaba
Economic climate or weather kwenye familia
 
Kishetani Hilo kimke chako.Yaani Mimi hata mwanaume afanye Nini sinuni Maana napenda kuchakatwa.Mimi nitampa mapande yake,halafu usiku viuno vikutane
 
Mtu mwenye tabia ya kununanuna huwa si mkarimu Kwa mumewe, wageni, ndugu na majirani.

Ukinuna unajiweka mbali na watu.

Hata kwenye biashara ukiwa mtu wa kununanuna na visirani na majibu ya mkato kwa wateja baada ya muda watakukimbia utasema umerogwa kumbe umekosa nyama ya ulimi [emoji108]
 
Kwenye ofisi za wazungu huwa wana observe wakiona unapokea wageni/wateja unawahudumia bila sura ya tabasamu wanakuonya. Ukiendelea wanakutoa usikutane na wateja ana Kwa ana wanaona utaharibu good image ya ofisi yao.
 
Pole sana. Hyo ni kawaida yao. Utazoea.
Njia yangu ni moja, kwanza na mimi sihangaiki nae, af baada ya hapo nakza vifuniko vyote ndani ya nyumba kisirisiri. Sijui chupa ya chai, maji, madumu n.k, ilimradi ni mfuniko, kaza!
Utaona tu anaanza kukusemesha mwenyewe uje umsaidie.
Af pia smtyms n shida wewe kuwepo most times around. Usikae nae sana ili akumiss au apate wenge kua upo kwa mpango wa kando. Akihoji mchane kua hupendi hizi mavitu za kununa kama ana shida awe anasema la sivo iko siku atanuna na ana shida na utampotezea.
Mwisho wa siku haya yote ni ubatili kama kilichomfanya anune ni from mchepuko wake. Hakuna utachofanya. Kaa kwa step!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Umenichekesha sana hapo kwenye kukaza mifuniko ya chupa na vingine.
 
Pole sana. Hyo ni kawaida yao. Utazoea.
Njia yangu ni moja, kwanza na mimi sihangaiki nae, af baada ya hapo nakza vifuniko vyote ndani ya nyumba kisirisiri. Sijui chupa ya chai, maji, madumu n.k, ilimradi ni mfuniko, kaza!
Utaona tu anaanza kukusemesha mwenyewe uje umsaidie.
Af pia smtyms n shida wewe kuwepo most times around. Usikae nae sana ili akumiss au apate wenge kua upo kwa mpango wa kando. Akihoji mchane kua hupendi hizi mavitu za kununa kama ana shida awe anasema la sivo iko siku atanuna na ana shida na utampotezea.
Mwisho wa siku haya yote ni ubatili kama kilichomfanya anune ni from mchepuko wake. Hakuna utachofanya. Kaa kwa step!

Nishapata mbinu

Kelsea utaona[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
...Kwa nini anaku avoid mkuu??? au kasikia una mchepuko???lol...unahitaji kuongea nae openly, umuulize nini tatizo..?, kuwa direct and specific...Labda ukienda kazini, mwambie leo nikirudi nina mazungumzo na wewe..au mwambie tutoke nina mazungumzo na wewe, tafuta sehemu nzuri isiyo na kelele..ambayo unaona mnaweza mkaongea na kureflect kwenye muelekeo wa uhusiano wenu.....kisha mmuulize akuambie nini tatizo....mwambie siku hizi mwenendo wako siuelewi, kila nikirudi huna furaha, umenuna nini tatizo mke wangu, usionyeshe kukasirika wala kutumia lugha ya kumu accuse...lazima atafunguka kinachomfanya anune...lol

I guess tatizo lenu hamna communication, huyu kanuna, huyu hajui hafanyaje kuhusu kununa huko kwa mkewe, hivyo anauchuna na yeye, things are becoming worse everyday...

Areas ambazo unazoweza kuexplore/investigate na kuimprove;
1. Mawasiliano/communication
2.Investigate kama ana mimba, labda utakua baba soon...[emoji3]
3.sex
4.Possibility kuna mtu mwingine anavizia boma lako
5. Attention, msifie kwa mambo madogo madogo, chakula kizuri,Kapendeza, mrembo...
6. Kama ulimkosea sehemu yoyote hata kama ni jambo dogo, muombe msamaha

If all these doesnt work, then sijui ufanyeje...lol

Good
 
We bwana sisi tunaweza kununa Tu hata kama kuna siku tuliona umeangalia taarifa ya habar sana na aliyekuwa anatangaza ni mwanamke.
TUNANUNA!
Sasa hapo sio shida, shida ni pale usipouliza kwanini tumenuna na hatukwambii na ukajifanya kuendelea na issue zako.
Na kesho yake ukaenda kazini!
na ukarudi ukala ukaomba na mzigo.
Kosa linazidi hapo.
Siku ukienda kwenye mpira ukaja unafurahia Liverpool kukosa ubingwa sisi tuazidi kununa kosa linaongezeka!
Hao ndo sisi.
 
Anaweza kukuchekesha usipocheka basi anakununia mkuu akinuna wala usianvaike naye chukua simu yako cheka nayo mwenyewe atajirudisha
 
Inategemea huyo anayenuna ni wa level gani. Kama ni matawi ya juu inabidi tu umbembeleze, kumsifia na mabusu kem kem.

Kama ni wa huku Mbagala kichemchem, nunua mchele wa Kyela kilo tatu, nyama iliyonona huku umeweka elfu tano mezani.

Ndugu kwanza utapelekewa maji bafuni ili uondoe kiwingu wakati anakatakata nyama huku amevaa khanga moja iliyorojoka na mdomoni anaimba taarab.

Kama ni wa Kimara mpigie simu bodaboda wako huku ukimuambie apitie kilo tatu za kitimoto hapo kwa Masawe kwani ulishazilipia asubuhi. Ghafla utaona manka anaanza kutabasamu na kuvaa nguo fupi fupi zinazoonyesha magoti.
Ahahaaaa!!! Haya na wa Kigoma tufanyeje mkuu

Sent from my SM-G930V using JamiiForums mobile app
 
Kisababishi namba moja ni kudaiwa kwenye vikundi vyao huko.

Wanakuwa na vikundi wanakopeshana na kuwekeana utaratibu wa kuchangishana kwa wiki kwa utaratibu maalumu. Unaweza kuta kila wiki anatakiwa kupeleka kwenye vikundi vyao 100,000.

Akikosa anavurugwa anabakia amenuna maana anahisi wewe unatakiwa kumpatia pesa ya kulipa sasa usipomsaidia au kumuuliza anakununia ili umtatulie shida yake ama usipofanya hivyo anakuona kama huna msaada au adui yake.

Usipokuwa mkali na hawa viumbe hutaweza kufocus na kufanya maisha ya ratiba zako distraction ni nyingi usipowachek.
 
Duuu wanawake sijui tunakwama wapi,,, kuna jamaa nae alikuwa anasimulia kuwa mkewe alimnunia week nzima kisa tu mwanamke alivaa nguo mpya na jamaa hakumsifia kuwa kapendeza mbaya zaidi jamaa hakujua kosa lake ni kutotambua kuwa mkewe kavaa nguo mpya.

Mwanamke anaweza kununa kwa sababu ya kitu kidogo sana na asiweze kumwambia mwenza wake ni nini tatizo , na wengi hudhani kununa ni suluhisho kumbe wanaume wanachukulia powa tu
Kabisa. Na hii inatokana na malezi na makuzi ya watoto wakike. Hawakuzwi kucommunicate feelings zao so wanashindwa namna nzuri ya kujiexpress.

Kununa huwa ni expression ya kijinga sana. Kununa inamfanya mwanaume apunguze ukaribu na wewe, inamtoa katika mood ya kuvutiwa na wewe hata kutaka kukugusa.

Inamfanya mwanaume ajione ana dosari ila sababu ya ufahari inabidi akaushe maana anajua utasema kama kuna tatizo.

Ukimkera zaidi ataona bora akatafute goma jingine nje.
 
We bwana sisi tunaweza kununa Tu hata kama kuna siku tuliona umeangalia taarifa ya habar sana na aliyekuwa anatangaza ni mwanamke.
TUNANUNA!
Sasa hapo sio shida, shida ni pale usipouliza kwanini tumenuna na hatukwambii na ukajifanya kuendelea na issue zako.
Na kesho yake ukaenda kazini!
na ukarudi ukala ukaomba na mzigo.
Kosa linazidi hapo.
Siku ukienda kwenye mpira ukaja unafurahia Liverpool kukosa ubingwa sisi tuazidi kununa kosa linaongezeka!
Hao ndo sisi.
Dawa ni kuwapuuza
 
Back
Top Bottom