Vitu gani husababisha Wanawake wanune?

Vitu gani husababisha Wanawake wanune?

Mbadilishie staili, kama mko wenyewe tu; dondosha kalamu sebuleni au ndani ya uzio kwa makusudi, wakati anainama kuichukua...pelekea moto hapo hapo. Jitahidi sana kutumia staili ambazo haziitaji kutumia kitanda.

Mabadiliko utayaona.
 
Alafu man usipende kutafuta suluhu kwenye makosa ambayo hujasababisha wewe hawa viumbe ukiwajali sana wanakudharau mwanaume unatakiwa ukaze siyo kila ukitikiswa unatikisika akigundua udhaifu wako ulipo atapiga hapo hapo mara kwa Mara kwahiyo hata Kama kagusa kwenye udhaifu wako usiwahi kumdhihirishia kuwa kakugusa pabaya Kama unataka kulia kalilie mbali ila ukirud hom mikausho ataongea tu mwnyewe ni kawaida hiyo
jamaa umeisha na mwanamke alafu unawaelewa vizuri... me akinuna na mimi nakausha nikitaka utamu najiongelesha nikila akiendelea kununa atajua mwenyewe maana wengi ukishakula wanaacha kununa ila kama hela sio tatizo
 
Si umuulize tu
Why unataka kufanya mambo yawe makubwa
Just ask her,what is wrong baby?
Akikujibu vibaya hapo ndo utajua sasa kuwa mwenye shida ni yeye na sio wewe!
 
Kuna wanaume wanaoa wanawake kuna wengine wanaoa MAJINI WATU.
Jana kuna mzee tajiri ana miliki magari ya kusafirisha mizigo.
Mkewe ni mdogo kwake kiumri jinsi yule mkewe alivyokuwa anamjibu mumewe ningekuwa Mimi ningeshaumiza mtu.
yaani hamuheshimu mumewe.
 
Akinuna nawe shika 50 zako.
Yaan ndani ni buyu buyu atasena tuu
 
Kuna kile kipindi cha kukaribia period ndio inasababisha kununa...

Ila kuna ambao kununa ni kawaida yao...
Hawana sababu ni kijitabia Chao...

Sio wanaume tu mnanuniwa hata wanawake wenzio wanawanunia...
 
Back
Top Bottom