Vitu gani husababisha Wanawake wanune?

Vitu gani husababisha Wanawake wanune?

Yaani mimi nataman hata nimzibue makofi ili anune vzr… vinatia hasira… akiwa sebren ukisema umfate ukianzisha vistor vya hapa na pale hasapot chochote anajifanya Mara yko bize na mtoto au vikaz kazi ambavyo havina hata maana ili mlad tu akutoroke… .duh hawaelewek… .kbs hawa viumbe
Huyo atakuwa kauza mechi nje sasa anahofia kuwa umepata habari ndiyo maana anakununia ili usilianzishe.
 
Jamani nataka niulize ni week sasa Mke wangu kanuna na sina kitu chochote nimemfanya,
Hivi vitu gani vinasababisha wanawake kununa kwani na mimi nimebaki kimya tu sasa sielewi huku kununa kwa mwenzangu kutaisha lini[emoji854]

Labda ni hormones tu itakua anakaribia period au ana mimba... nakushauri mvumilie muulize what’s wrong kiupole
 
Jamani nataka niulize ni week sasa Mke wangu kanuna na sina kitu chochote nimemfanya,
Hivi vitu gani vinasababisha wanawake kununa kwani na mimi nimebaki kimya tu sasa sielewi huku kununa kwa mwenzangu kutaisha lini[emoji854]
Hawa wanawake some time ni Kama wapumbavu Mimi et kaninunia kisa et kwa Nini nimekua wa Mwisho kuamka na sijamsaidia kukunja net Ivo tu kanuna


Atajijua mwenyewe
 
Duuu wanawake sijui tunakwama wapi,,, kuna jamaa nae alikuwa anasimulia kuwa mkewe alimnunia week nzima kisa tu mwanamke alivaa nguo mpya na jamaa hakumsifia kuwa kapendeza mbaya zaidi jamaa hakujua kosa lake ni kutotambua kuwa mkewe kavaa nguo mpya.

Mwanamke anaweza kununa kwa sababu ya kitu kidogo sana na asiweze kumwambia mwenza wake ni nini tatizo , na wengi hudhani kununa ni suluhisho kumbe wanaume wanachukulia powa tu
Huyo mwanamke utoto utakuwa unamsumbua. Yaani kuvaa nguo mpya mpaka asifiwe!!! Huwa mnatoa wapi hao wanawake?
 
Jamani nataka niulize ni week sasa Mke wangu kanuna na sina kitu chochote nimemfanya,
Hivi vitu gani vinasababisha wanawake kununa kwani na mimi nimebaki kimya tu sasa sielewi huku kununa kwa mwenzangu kutaisha lini[emoji854]
Of course kama ' hujamfanya ' lazima anune.Wewe ulitegemea nini kwani ?
 
unakuta kuna kichwa kinamsumbua huko nje, au basi usitilie maanani hii comment tafadhali ukachunguza akajifia.
 
Jamani nataka niulize ni week sasa Mke wangu kanuna na sina kitu chochote nimemfanya,
Hivi vitu gani vinasababisha wanawake kununa kwani na mimi nimebaki kimya tu sasa sielewi huku kununa kwa mwenzangu kutaisha lini[emoji854]
Mtafutie au mpe Pesa, Lazima kununa kutaisha..
 
Alafu man usipende kutafuta suluhu kwenye makosa ambayo hujasababisha wewe hawa viumbe ukiwajali sana wanakudharau mwanaume unatakiwa ukaze siyo kila ukitikiswa unatikisika akigundua udhaifu wako ulipo atapiga hapo hapo mara kwa Mara kwahiyo hata Kama kagusa kwenye udhaifu wako usiwahi kumdhihirishia kuwa kakugusa pabaya Kama unataka kulia kalilie mbali ila ukirud hom mikausho ataongea tu mwnyewe ni kawaida hiyo
 
Jamani nataka niulize ni week sasa Mke wangu kanuna na sina kitu chochote nimemfanya,
Hivi vitu gani vinasababisha wanawake kununa kwani na mimi nimebaki kimya tu sasa sielewi huku kununa kwa mwenzangu kutaisha lini[emoji854]
Kununa ni kutojielewa. Jaribu mkeo awe rafiki yako,muwe mnaweza kuzungumza , kujadiliana mambo yote
 
Jamani nataka niulize ni week sasa Mke wangu kanuna na sina kitu chochote nimemfanya,
Hivi vitu gani vinasababisha wanawake kununa kwani na mimi nimebaki kimya tu sasa sielewi huku kununa kwa mwenzangu kutaisha lini[emoji854]
Tayari huyo, anza kuandaa nepi, beseni na bebishoo.
 
Unaporudi mletee zawadi ..kile anachopenda.. ..

Anataka kubembelezwaa ile bebi bebi ....

Anakupima utafanyaje.. ..

Zidisha pesa ya meza

Nifanye kusahau pesa kwenye furuali au Shati...

Weka pesa azione ..andika msg mwambie akanunue gauni zuri ..saluni..jioni mtoke

Mwambie nisindikize sehemu..mkifika nunua vile anapenda

Msome..huku unajifanya bize kuchati..

Nifanye tumbo au kichwa kimeuma ghafla ..Tena Sana..gara gara

Mwite ndani muulize pole..pole..nn shida ..

Peleka Moto Tena si kwa kubembeleza..kwa vishindo hasa..
 
Unaporudi mletee zawadi ..kile anachopenda.. ..

Anataka kubembelezwaa ile bebi bebi ....

Anakupima utafanyaje.. ..

Zidisha pesa ya meza

Nifanye kusahau pesa kwenye furuali au Shati...

Weka pesa azione ..andika msg mwambie akanunue gauni zuri ..saluni..jioni mtoke

Mwambie nisindikize sehemu..mkifika nunua vile anapenda

Msome..huku unajifanya bize kuchati..

Nifanye tumbo au kichwa kimeuma ghafla ..Tena Sana..gara gara

Mwite ndani muulize pole..pole..nn shida ..

Peleka Moto Tena si kwa kubembeleza..kwa vishindo hasa..
Mkuu,kwahiyo hii ndio itakua kazi yake kila muda Mke atakapo nuna? Maana hawa viumbe hawatabiriki.
 
Huyo mwanamke utoto utakuwa unamsumbua. Yaani kuvaa nguo mpya mpaka asifiwe!!! Huwa mnatoa wapi hao wanawake?
Sasa si alisifiwa na watu wa nje kuwa kapendeza na mumewe hakutoa comment yoyote kuhusu nguo mpya aliyovaa mkewe,
 
Back
Top Bottom