ulaya12
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 834
- 907
Huyo atakuwa kauza mechi nje sasa anahofia kuwa umepata habari ndiyo maana anakununia ili usilianzishe.Yaani mimi nataman hata nimzibue makofi ili anune vzr… vinatia hasira… akiwa sebren ukisema umfate ukianzisha vistor vya hapa na pale hasapot chochote anajifanya Mara yko bize na mtoto au vikaz kazi ambavyo havina hata maana ili mlad tu akutoroke… .duh hawaelewek… .kbs hawa viumbe