Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jamaa umeisha na mwanamke alafu unawaelewa vizuri... me akinuna na mimi nakausha nikitaka utamu najiongelesha nikila akiendelea kununa atajua mwenyewe maana wengi ukishakula wanaacha kununa ila kama hela sio tatizoAlafu man usipende kutafuta suluhu kwenye makosa ambayo hujasababisha wewe hawa viumbe ukiwajali sana wanakudharau mwanaume unatakiwa ukaze siyo kila ukitikiswa unatikisika akigundua udhaifu wako ulipo atapiga hapo hapo mara kwa Mara kwahiyo hata Kama kagusa kwenye udhaifu wako usiwahi kumdhihirishia kuwa kakugusa pabaya Kama unataka kulia kalilie mbali ila ukirud hom mikausho ataongea tu mwnyewe ni kawaida hiyo
Hili swali hili.. lina asiri ya .... Au bhasiUna miaka mingapi ?
Akirudia Tena unampa makavu...Mkuu,kwahiyo hii ndio itakua kazi yake kila muda Mke atakapo nuna? Maana hawa viumbe hawatabiriki.
Tumuache😁😁😁😁
Tumuambie au tumuache kwanza.
😀😀😀Hawa wanawake some time ni Kama wapumbavu Mimi et kaninunia kisa et kwa Nini nimekua wa Mwisho kuamka na sijamsaidia kukunja net Ivo tu kanuna
Atajijua mwenyewe