Vitu gani husababisha Wanawake wanune?

Aliyekuwa amenuna amehamia kwenye chumba kingine yaani tulikuwa tunalala pamoja lkn kahamia kwenye chumba kingine… maana yke nini?[emoji3064]
 
Aliyekuwa amenuna amehamia kwenye chumba kingine yaani tulikuwa tunalala pamoja lkn kahamia kwenye chumba kingine… maana yke nini?[emoji3064]
Yani usimuongeleshe mkuu wala kumuulizaa...!! Anapima kina cha bahari kwa kuvuka na miguu kama una mchepuko wako endelea kujiliaa vyakooo.. USIMUULIZE KITUUU
 
Kununiwa ni factor ndogo na sio ishu, ukilinganisha na vitimbi vya wanawake wengine.
Bora mnunaji kuliko tabia zingine, japo mnunaji nae huwezi jua anakuwazia nini usijeshangaa unamka korodani hazipo
 
Moto napeleka lkn ukiondoka ukienda kwenye mihangaiko ukirud bado unamkuta kanuna… yaani nimeona kupelekea moto sio solution kwn moto unawashwa every day
Simply...amekuchoka
 
Aliyekuwa amenuna amehamia kwenye chumba kingine yaani tulikuwa tunalala pamoja lkn kahamia kwenye chumba kingine… maana yke nini?[emoji3064]
Ila na nyie jamani mna mauzi aisee! af kwa kujitia hamjui makosa yenu, unakuta mtu kakurahisha af anajitoa ufaham, unaamua tu uhame chumba tu maana hata anavopumua usiku unaona kero usije mfunika na mto bure [emoji57]
 
Unakuta janajike limevuta domo kama kitumbua
 
Hahaha
 
Mkuu unaweza shtukia tu kitu kizito kinatua kichwani au kitu chenye ncha kali,,, halafu vyombo vya habari vitatuambia " amuua mumewe kisa wivu wa mapenzi"
Huyo l
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…