Vitu gani huwezi fanya bila mwanamke/mwanaume

Vitu gani huwezi fanya bila mwanamke/mwanaume

sky walker

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2018
Posts
1,160
Reaction score
831
kama mimi kuna vitu siwezi kabisaa huwa mara nyingi nahitaji msaada na vikifanyika na mwanamke huwa najisikia amani toka moyoni na mara nyingi huwa inaniwia vigumu kuvifanya mimi mwenyewe kama mawanaume
mfano:
1.ku arrange chumba
2.kuosha vyombo
3.kukunja nguo
4.kudeki
5.ku sex
6.ongeza yako kama unayo

DUiBaiRXkAAXq3y.jpg
 
Kuzalisha.....hapo nahitaji mwanamke, mengine yoote ni mbwembwe tu
 
kama mimi kuna vitu siwezi kabisaa huwa mara nyingi nahitaji msaada na vikifanyika na mwanamke huwa najisikia amani toka moyoni na mara nyingi huwa inaniwia vigumu kuvifanya mimi mwenyewe kama mawanaume
mfano:
1.ku arrange chumba
2.kuosha vyombo
3.kukunja nguo
4.kudeki
5.ku sex
6.ongeza yako kama unayozc

View attachment 735041
86xcZ6
 
kama mimi kuna vitu siwezi kabisaa huwa mara nyingi nahitaji msaada na vikifanyika na mwanamke huwa najisikia amani toka moyoni na mara nyingi huwa inaniwia vigumu kuvifanya mimi mwenyewe kama mawanaume
mfano:
1.ku arrange chumba
2.kuosha vyombo
3.kukunja nguo
4.kudeki
5.ku sex
6.ongeza yako kama unayo

View attachment 735041
Mimiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,mmmmmmmm kupiga puny...o,bila hisia za mwanamke haikamiliki hiyo shughuli .
 
kama mimi kuna vitu siwezi kabisaa huwa mara nyingi nahitaji msaada na vikifanyika na mwanamke huwa najisikia amani toka moyoni na mara nyingi huwa inaniwia vigumu kuvifanya mimi mwenyewe kama mawanaume
mfano:
1.ku arrange chumba
2.kuosha vyombo
3.kukunja nguo
4.kudeki
5.ku sex
6.ongeza yako kama unayo

View attachment 735041
Mi no 5 tuu, hivyo vingine naweza kufanya bila mwanamke
 
Back
Top Bottom