Ki ukweli mimi nilitumia formula yako na haikunisaidia hata chembe, nikakucheki ukaniambia utanibadilishia formula nikawa nakukumbusha kila siku lakini hujali nikajua hii ni changa la macho tu nikavunga asenaomba ushaid wa nani nilimdhulumu shiling ngap na ni lin au ufute kauli