Vitu gani vidogo vidogo unavyovitumia umevimiliki kwa muda mrefu sana

Vitu gani vidogo vidogo unavyovitumia umevimiliki kwa muda mrefu sana

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Aisee mimi katika vitu nimekaa navyo kwa miaka mingi na mpaka sasa bado ninavyo na vinaniwezesha katika service za mwili wangu ni taulo na sanduku la nguo ambalo nimelitumia mara nyingi kuhifadhi documenties.

Kwa kumbukumbu zangu naona kama nilinunuliwa taulo na sanduku nikiwa shule ya msingi huko miaka ya 2005 mpaka namaliza mpaka naenda sekondary mpaka chuo mpaka napata ajira mpaka sasa maishani bado tu navitumia na naona viko vizuri tu labda taulo ndo soon nitaligeuza dekio.
 

Attachments

  • IMG_20240822_063702.jpg
    IMG_20240822_063702.jpg
    3.1 MB · Views: 7
Aisee mimi katika vitu nimekaa navyo kwa miaka mingi na mpaka sasa bado ninavyo na vinaniwezesha katika service za mwili wangu ni taulo na sanduku la nguo ambalo nimelitumia mara nyingi kuhifadhi documenties.

Kwa kumbukumbu zangu naona kama nilinunuliwa taulo na sanduku nikiwa shule ya msingi huko miaka ya 2005 mpaka namaliza mpaka naenda sekondary mpaka chuo mpaka napata ajira mpaka sasa maishani bado tu navitumia na naona viko vizuri tu labda taulo ndo soon nitaligeuza dekio.
Duuu mzee unatumia tranka?
 
Kwanini ukae na vitu muda mrefu?

Kitanda chenyewe ninacholalia na Bibi yenu huwa nabadirisha Kila baada ya Mwaka mmoja.

Kitu ambacho nimekaa nacho muda mrefu ni album ya picha tu.

Nimehifadhi kwakuwa ni mkusanyiko wa matukio mengi ya zamani
 
Aisee mimi katika vitu nimekaa navyo kwa miaka mingi na mpaka sasa bado ninavyo na vinaniwezesha katika service za mwili wangu ni taulo na sanduku la nguo ambalo nimelitumia mara nyingi kuhifadhi documenties.

Kwa kumbukumbu zangu naona kama nilinunuliwa taulo na sanduku nikiwa shule ya msingi huko miaka ya 2005 mpaka namaliza mpaka naenda sekondary mpaka chuo mpaka napata ajira mpaka sasa maishani bado tu navitumia na naona viko vizuri tu labda taulo ndo soon nitaligeuza dekio.
Documents sio Documenties.
2005 ulikuwa shule ya msingi?
 
Kwanini ukae na vitu muda mrefu?

Kitanda chenyewe ninacholalia na Bibi yenu huwa nabadirisha Kila baada ya Mwaka mmoja.

Kitu ambacho nimekaa nacho muda mrefu ni album ya picha tu.

Nimehifadhi kwakuwa ni mkusanyiko wa matukio mengi ya zamani
Me kitanda labda nikae nacho miaka minne nita change ila sio kila mwaka...labda masofa pia after two years
 
Aisee mimi katika vitu nimekaa navyo kwa miaka mingi na mpaka sasa bado ninavyo na vinaniwezesha katika service za mwili wangu ni taulo na sanduku la nguo ambalo nimelitumia mara nyingi kuhifadhi documenties.

Kwa kumbukumbu zangu naona kama nilinunuliwa taulo na sanduku nikiwa shule ya msingi huko miaka ya 2005 mpaka namaliza mpaka naenda sekondary mpaka chuo mpaka napata ajira mpaka sasa maishani bado tu navitumia na naona viko vizuri tu labda taulo ndo soon nitaligeuza dekio.
Unafahamu kwaruzo (sijui kama ni jina rasmi); ile ya kusawazisha nywele na nyuma inakuwa na kioo. Aisee, ninayo toka mwaka 1999..!
 
Back
Top Bottom