cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji355]
Nilipewa zawadi na Padri wa parokia yetu, baada ya kuongoza mtihani wa dini kiwilaya.
Saa ilitoka [emoji1037], box nilifungua mwenyewe,
Saa nlienda nayo Shule Sec O level, shule nzima hakukua na saa kali km hii.
Wanafunzi wa advance, baadhi walikua wananishawishi niwauziee, baadae nkaona hii ntaibiwa, nkaamua kuirudisha home.
Ile saa nkaweka kwa box lake, na kufungia kwa begi, nilikua naivaa home nikiwa likizo, hata Advance sikuenda nayo.
Nimekuja kuifaidi nikiwa chuo, saa kaliii, ina miaka 13 had sasa.
Nilipewa zawadi na Padri wa parokia yetu, baada ya kuongoza mtihani wa dini kiwilaya.
Saa ilitoka [emoji1037], box nilifungua mwenyewe,
Saa nlienda nayo Shule Sec O level, shule nzima hakukua na saa kali km hii.
Wanafunzi wa advance, baadhi walikua wananishawishi niwauziee, baadae nkaona hii ntaibiwa, nkaamua kuirudisha home.
Ile saa nkaweka kwa box lake, na kufungia kwa begi, nilikua naivaa home nikiwa likizo, hata Advance sikuenda nayo.
Nimekuja kuifaidi nikiwa chuo, saa kaliii, ina miaka 13 had sasa.