Vitu gani vidogo vidogo unavyovitumia umevimiliki kwa muda mrefu sana

Vitu gani vidogo vidogo unavyovitumia umevimiliki kwa muda mrefu sana

Hapo lazima haumchoki bibi! Mkibadili kitanda na styles zinabadilishwa ndoa inazidi kukata miaka☺️
Hahaha..........of course hiyo inasaidia pia. Wakati unabadiri hivyo vitu, unafanya ukarabati wa chumba Kwa kuweka taa za rangi rangi pamoja na kupiga rangi upya ya Chumba

Lakini kikubwa ukitaka ufurahie hayo mambo, ni kumtoa out kwenye mazingira mageni.

Akiwa huko anakuwa mtu mpya kabisa. Kama utakuwa una nguvu nguvu kidogo mbona utatamani kufia kwenye kinanii 😜
 
Nilivaa bukta ya shule (primary school) kwa miaka mitatu mfululizo, ilikuwa ndefu na kitambaa chake ni kizito

Niliipenda sana ile kaptula

Ghafla ile kaptula ilikuja kupotea tu maeneo ya nyumbani kabisa nikaitafuta sana nikaikosa, baadae naikuta kwa mtoto wa shemeji yangu (5 yrs older) ameivalia kwa ndani.

Ile nguo mpaka leo naikumbuka na naipenda

ndio kitu kimojawapo nimemiliki kwa muda mrefu
 
Ningependa kumshauri abadiri hilo taulo.

Lazima litakuwa kwenye hali mbaya ya kimuonekano

Ni sawa na baadhi ya wenzetu kutokuwa na tabia ya kubadiri miswaki. Yaani utakuta mtu anatumia mswaki bila kubadirisha hata miezi 4 ama 6 kabisa 🙌
Mswaki unatumika hadi unachanua kama ua la saa nne 🤣🤣🤣
 
Aisee mimi katika vitu nimekaa navyo kwa miaka mingi na mpaka sasa bado ninavyo na vinaniwezesha katika service za mwili wangu ni taulo na sanduku la nguo ambalo nimelitumia mara nyingi kuhifadhi documenties.

Kwa kumbukumbu zangu naona kama nilinunuliwa taulo na sanduku nikiwa shule ya msingi huko miaka ya 2005 mpaka namaliza mpaka naenda sekondary mpaka chuo mpaka napata ajira mpaka sasa maishani bado tu navitumia na naona viko vizuri tu labda taulo ndo soon nitaligeuza dekio.
Shule ya msingi miaka ya 2005. Dah!!!
Anyway. Hilo taulo kiuno hakikui?
 
Aisee mimi katika vitu nimekaa navyo kwa miaka mingi na mpaka sasa bado ninavyo na vinaniwezesha katika service za mwili wangu ni taulo na sanduku la nguo ambalo nimelitumia mara nyingi kuhifadhi documenties.

Kwa kumbukumbu zangu naona kama nilinunuliwa taulo na sanduku nikiwa shule ya msingi huko miaka ya 2005 mpaka namaliza mpaka naenda sekondary mpaka chuo mpaka napata ajira mpaka sasa maishani bado tu navitumia na naona viko vizuri tu labda taulo ndo soon nitaligeuza dekio.

Leso natunza mno, nina leso ina miaka 8
 
Back
Top Bottom