Ngorunde
Platinum Member
- Nov 17, 2006
- 4,672
- 9,806
Bila shaka huu ni utani kwa wajukuu, nikisema ni TATEPA nitakuwa nimekuvunjia heshima.Kitanda chenyewe ninacholalia na Bibi yenu huwa nabadirisha Kila baada ya Mwaka mmoja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila shaka huu ni utani kwa wajukuu, nikisema ni TATEPA nitakuwa nimekuvunjia heshima.Kitanda chenyewe ninacholalia na Bibi yenu huwa nabadirisha Kila baada ya Mwaka mmoja.
Wazee tumezoea utani Mkuu 🤗Bila shaka huu ni utani kwa wajukuu, nikisema ni TATEPA nitakuwa nimekuvunjia heshima.
Ni utaratibu mzuriMe kitanda labda nikae nacho miaka minne nita change ila sio kila mwaka...labda masofa pia after two years
Nina utaratibu wa kubadiri godoro Kila baada ya miaka 2. Nauza kama used kisha naongezea hela kununua jipyaAisee! Kitanda unabadili kila mwaka? Na godoro pia?
Hapo lazima haumchoki bibi! Mkibadili kitanda na styles zinabadilishwa ndoa inazidi kukata miaka☺️Nina utaratibu wa kubadiri godoro Kila baada ya miaka 2. Nauza kama used kisha naongezea hela kununua jipya
Hahaha..........of course hiyo inasaidia pia. Wakati unabadiri hivyo vitu, unafanya ukarabati wa chumba Kwa kuweka taa za rangi rangi pamoja na kupiga rangi upya ya ChumbaHapo lazima haumchoki bibi! Mkibadili kitanda na styles zinabadilishwa ndoa inazidi kukata miaka☺️
Hilo taulo tangu 2005 halisimami dede kweli?Nimekupata asante kwa correction.
Ndio 2005 nilikua darasa la 4
Ningependa kumshauri abadiri hilo taulo.Hilo taulo tangu 2005 halisimami dede kweli?
Mswaki unatumika hadi unachanua kama ua la saa nne 🤣🤣🤣Ningependa kumshauri abadiri hilo taulo.
Lazima litakuwa kwenye hali mbaya ya kimuonekano
Ni sawa na baadhi ya wenzetu kutokuwa na tabia ya kubadiri miswaki. Yaani utakuta mtu anatumia mswaki bila kubadirisha hata miezi 4 ama 6 kabisa 🙌
Shule ya msingi miaka ya 2005. Dah!!!Aisee mimi katika vitu nimekaa navyo kwa miaka mingi na mpaka sasa bado ninavyo na vinaniwezesha katika service za mwili wangu ni taulo na sanduku la nguo ambalo nimelitumia mara nyingi kuhifadhi documenties.
Kwa kumbukumbu zangu naona kama nilinunuliwa taulo na sanduku nikiwa shule ya msingi huko miaka ya 2005 mpaka namaliza mpaka naenda sekondary mpaka chuo mpaka napata ajira mpaka sasa maishani bado tu navitumia na naona viko vizuri tu labda taulo ndo soon nitaligeuza dekio.
Hahaha.................huwa najiuliza ni ubahiri ama ni kukosa muda wa kwenda Dukani kununua 😅🙌Mswaki unatumika hadi unachanua kama uwa la saa nne 🤣🤣🤣
Aisee mimi katika vitu nimekaa navyo kwa miaka mingi na mpaka sasa bado ninavyo na vinaniwezesha katika service za mwili wangu ni taulo na sanduku la nguo ambalo nimelitumia mara nyingi kuhifadhi documenties.
Kwa kumbukumbu zangu naona kama nilinunuliwa taulo na sanduku nikiwa shule ya msingi huko miaka ya 2005 mpaka namaliza mpaka naenda sekondary mpaka chuo mpaka napata ajira mpaka sasa maishani bado tu navitumia na naona viko vizuri tu labda taulo ndo soon nitaligeuza dekio.
Kama ni ya Gold haina mbaya, maana ile inaweza kudumu muda mrefuCheni ya tangu enzi hizo za ujana mpk uzee huu
Miaka 8🙌Leso natunza mno, nina leso ina miaka 8
Labda kama hua halifutii pumbuz.Taulo 2005-2024, miaka 19.
Ulinunuliwa likiwa na rangi gani na kwa sasa lina rangi gani bro.....
Tena kama alienda nalo Advance school hizi Shule tulizosoma sisi zenye Fangasi za kuzoa Bafuni mbona litakuwa na hali mbaya zaidi 🙌Labda kama hua halifutii pumbuz.