Hii hata kwetu ipo...Huu mzigo tangu 1990 mbaka leo nabadili betri tu, mchina wa enzi hzo....chumaaa🫡🫡
Miaka 8🙌
Labda kama ulipewa zawadi na your lifetime partner hivyo umefanya kuitunza kama Kumbukumbu yenu
Hongera kuwa mtunzajiHapana, nilinunua dozen zimepotea imebaki hiyo 1. Nina zingine pia ila hiyo naipenda tu
Sasa ule mkanda wangu uliodumu haukuwa wa ngozi.Mkanda wa ngozi na wallet huwa zinadumu sana
Nimeanza kukatumia ka Sara kangu tangu kana 17yrs mpaka sasa 26yrs na bado kapo vzrAisee mimi katika vitu nimekaa navyo kwa miaka mingi na mpaka sasa bado ninavyo na vinaniwezesha katika service za mwili wangu ni taulo na sanduku la nguo ambalo nimelitumia mara nyingi kuhifadhi documenties.
Kwa kumbukumbu zangu naona kama nilinunuliwa taulo na sanduku nikiwa shule ya msingi huko miaka ya 2005 mpaka namaliza mpaka naenda sekondary mpaka chuo mpaka napata ajira mpaka sasa maishani bado tu navitumia na naona viko vizuri tu labda taulo ndo soon nitaligeuza dekio.
Bila picha au video hainogiBado liko vzr ni la blue iliyofifia mpaka sasa liko vema.material yake kama utumbo taulo sio yale ya kukakamaa kama ya guest
UtambiSasa ule mkanda wangu uliodumu haukuwa wa ngozi.
Umetengenezwa kwa materials flani kama ile mikono ya mabegi ya mkononi (duffle bags), ile material wakaijaza vizuri..
Ni miaka inakata tu, Ngoma haizeeki.
Yeah..shule walikuwa wanazingua nikivaa.. wanadai utambi 😄.Utambi
Mimi nilinunua mkanda wa ngozi mwaka January 2019 kwa Wamasai, hadi sasa bado upo imara naendelea kuutumia.Nilinunua mkanda wa kiunoni pale karume sokoni mwaka 2008.
Nauvaa mpaka leo japo sasa nimegain weight umeanza kuwa mdogo.
Ronaldo akistaafu tu mpira nami nitaustaafisha.
Duh ila pamoja na yote litakuwa limechoka sana, sio mchezoBado liko vzr ni la blue iliyofifia mpaka sasa liko vema.material yake kama utumbo taulo sio yale ya kukakamaa kama ya guest