Vitu gani vidogo vidogo unavyovitumia umevimiliki kwa muda mrefu sana

[emoji355]

Nilipewa zawadi na Padri wa parokia yetu, baada ya kuongoza mtihani wa dini kiwilaya.

Saa ilitoka [emoji1037], box nilifungua mwenyewe,
Saa nlienda nayo Shule Sec O level, shule nzima hakukua na saa kali km hii.

Wanafunzi wa advance, baadhi walikua wananishawishi niwauziee, baadae nkaona hii ntaibiwa, nkaamua kuirudisha home.
Ile saa nkaweka kwa box lake, na kufungia kwa begi, nilikua naivaa home nikiwa likizo, hata Advance sikuenda nayo.

Nimekuja kuifaidi nikiwa chuo, saa kaliii, ina miaka 13 had sasa.
 
Mkanda wa ngozi na wallet huwa zinadumu sana
Sasa ule mkanda wangu uliodumu haukuwa wa ngozi.
Umetengenezwa kwa materials flani kama ile mikono ya mabegi ya mkononi (duffle bags), ile material wakaijaza vizuri..
Ni miaka inakata tu, Ngoma haizeeki.
 
Nimeanza kukatumia ka Sara kangu tangu kana 17yrs mpaka sasa 26yrs na bado kapo vzr
 
Nilinunua mkanda wa kiunoni pale karume sokoni mwaka 2008.

Nauvaa mpaka leo japo sasa nimegain weight umeanza kuwa mdogo.

Ronaldo akistaafu tu mpira nami nitaustaafisha.
Mimi nilinunua mkanda wa ngozi mwaka January 2019 kwa Wamasai, hadi sasa bado upo imara naendelea kuutumia.

Nilinunua TECNO Y6 May 2016 nikaitumia hadi hadi December 2021(miaka 5 si haba)

Binafsi napenda kutumia kitu hadi kiishe kabisa au kipotee ndipo niachane nacho, pia sio muumini wa kuuza vitu bila sababu ya msingi ya kunifanya niuze
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…