Vitu gani vinaamua idadi ya njia za Main Switch kwenye nyumba yako?

Vitu gani vinaamua idadi ya njia za Main Switch kwenye nyumba yako?

rule of thumb ni kwamba ukizidi 'total anticipated load' ya 15kW ( 15000 Watts ), unafunga 3-phase ( na cut-outs )

weka listi ya vifaa utakavyofunga ( AC zote, jiko la umeme, heater, pump, mashine ya kufulia, etc ) + zile utakazofunga mbeleni huko, injinia akupigie total Watts uone inakuja ngapi
Ni suala la kufunga single phase mbili kugawanya load. Lodge nyingi mjin wanafny hivo. Mita Hadi 4 wanafunga
 
Ni suala la kufunga single phase mbili kugawanya load. Lodge nyingine mjin wanafny hivo. Mita Hadi 4 wanafunga
kwa mantiki hiyo 3-phase haina maana tena na transformer zote zingekua 1-phase

na kama unavuta mita mbili ila kutoka phase moja haina maana pia, kila mwenye kuzidi 15kW afunge mita mbili, iyo line hapo mtaani itapata umeme mdogo (low voltage) maisha

mgawanyo sawa wa load ( load balance ) ifanyike kwa kila phase,
 
USHAUR wangu:
Funga single phase ila Mainswitch weka ya 8 ways. Ila katika mchanganuo ufuatao.

1. Njia ya Taa zote za nje ya nyumba na kwenye fensi ( photocell).
Funga kwenye miniture ya 20A

2. Njia ya Taa zote za ndani ya nyumba.
Funga kwny miniture ya 10A

3. Njia ya Socket zote za vyumbani na sebleni.
Funga kwny miniture ya 32A

4. Njia ya socket ya jikoni kwa ajili ya kupikia (cooker), friji n.k
Funga kwny miniture ya 63A

5. Njia ya AC number 1
Funga kwny miniture ya 63A

6. Njia ya AC number 2
Funga kwny miniture ya 63A

7. Njia ya PUMP ya maji (Kama utakuja kufunga kisima)
Funga 32A au 63A kutegemea na uwezo wa pump yako

8. Njia ya socket maalum ya dharula na shughuli nzito nzito Kama kuchomelea n.k
Funga miniture ya 63A
You must be an Electrical Eng
 
kwa mantiki hiyo 3-phase haina maana tena na transformer zote zingekua 1-phase

na kama unavuta mita mbili ila kutoka phase moja haina maana pia, kila mwenye kuzidi 15kW afunge mita mbili, iyo line hapo mtaani itapata umeme mdogo (low voltage) maisha

mgawanyo sawa wa load ( load balance ) ifanyike kwa kila phase,

Unachosahau Ni kwamba hizo ac unazosemea haziwashwi MDA wote na siku zote,Kikawaida Kwa matumizi ya nyumban mpk uje uzidi kw 15 sio rahisi kiivyo.

Nyumba nyingi hata kw 2 hawamalizi,
Ofsin kwangu nna matumiz makubwa Sana na ac 2, ila hata kw7 sijawai kuzidi

Mara nyingi nacheza kw 3, nmezidi Sana nafika kw 5. Kivp Nafikaje kw 15
 
Unachosahau Ni kwamba
sijasahau, kuna Demand Factor(DF), peak load (vyombo vingi vinakua on)vs base load(matumizi ya kawaida), zote zinakua considered kwenye mahesabu

kwenye sizing siyo ya 'transformer' tu, hata ya 'generator' calculations lazima ifanyike,

hujawaiona sehem Tanesco kila usiku saa 1 inapigiwa simu kwa dharura kwamba 'line' flani haina umeme, je unajua sababu ni nini ?

wanakuja wanarekebisha, kesho tatizo liko palepale

hujawaiona 'line' flani ina umeme mdogo kuliko 'line' nyingine ? ikifika saa 4 nyumba kadhaa ni mwendo wa giza mpaka saa 7 usiku

je unadhani genereta kuunguruma kusiko kawaida na kutoa makele sababu ni nini

ndiyo madhara ya kufanya mambo kienyeji , unabebesha mzigo 'phase' moja tu ili kuokoa fedha
 
Kuna nyumba Nimefika hatua ya wiring. sasa kuna Fundi jirani na ninapojenga aliomba kazi akaomba kunipigia gharama ya vitu. Moja ya vitu aliandika Main switch (3 phase 12 ways).

Fundi ambae kajenga Boma mpaka kuezeka nae akaleta Fundi wake akaandika vifaa vyake na Main switch (3 phase 18 ways)

Nimeona tofauti kubwa sana Kati ya 12 na 18.

Wajuzi wa mambo, kipi kina determine Main switch ways?

NB: ukubwa wa nyumba ni vyumba 4 witatu ni Self contained , public toilet, kitchen, sitting room, dining room, store. Two Air conditioners.

Msaada please. Sipendi kubahatisha Nataka kufanya kitu cha uhakika.
Idadi ya circuit kwenye nyumba yako ndo ina determine Aina ya MainSwitch
 
Kwanza kulingana na nyumba yako hapo juu hizo main switch ni 3 phase 4 ways which make (12 circuits) na hiyo ya pili ni 3 phase 6 ways which make (18 ways).

Kinacho determine ways za main switch ni circuit za nyumba husika ambazo ni kama circuit za taa (taa za ndani na nje ya nyumba) , socket, na air conditioners.

kulingana na nyumba yako ina jumla ya max 9 rooms........so circuit za taa maximum zitakua 4, circuit za socket zitakua 2, circuit 2 za A/C......jumla unakua na circuit 8.

So kwa jumla nyumba yako inakua na circuit 8......so i prefer hiyo ya ya kwanza ya 3 phase 4 ways (12 ways).
Why not 12 ways single phase??

Sent from my SM-G935S using JamiiForums mobile app
 
USHAUR wangu:
Funga single phase ila Mainswitch weka ya 8 ways. Ila katika mchanganuo ufuatao.

1. Njia ya Taa zote za nje ya nyumba na kwenye fensi ( photocell).
Funga kwenye miniture ya 20A

2. Njia ya Taa zote za ndani ya nyumba.
Funga kwny miniture ya 10A

3. Njia ya Socket zote za vyumbani na sebleni.
Funga kwny miniture ya 32A

4. Njia ya socket ya jikoni kwa ajili ya kupikia (cooker), friji n.k
Funga kwny miniture ya 63A

5. Njia ya AC number 1
Funga kwny miniture ya 63A

6. Njia ya AC number 2
Funga kwny miniture ya 63A

7. Njia ya PUMP ya maji (Kama utakuja kufunga kisima)
Funga 32A au 63A kutegemea na uwezo wa pump yako

8. Njia ya socket maalum ya dharula na shughuli nzito nzito Kama kuchomelea n.k
Funga miniture ya 63A
Hapo unakua huna reserve hata moja ikitokea unataka kuongeza vifaa inakuwa issue
 
Back
Top Bottom