Pole sana vipi wana Amani kweli?Mapenzi hayajawahi kumwacha binadamu salama.
Nilimkuta akiwa hana mbele wala nyuma, anakaa kwa wazazi, nikampangia na nyumba, baadaye nikamtafutia kazi, akaanza kunawiri na uzinzi na ufuska vikaja juu.
Nikamsema akajirekebisha. Wazazi wake wakikuwa wanakaa kwenye nyumba ya tope, nikawajengea nyumba ya kisasa, ilipo kamilika wakasema nataka kumtoa kafara mtoto wao ili nikuze biashara zangu, kumbe kuna msichana mwingine wamemtafutia mtoto wao.
Hivi anayehusika kwenye kuacha au kuachwa, ni wakwe au uliyetongozana nae?Mapenzi hayajawahi kumwacha binadamu salama.
Nilimkuta akiwa hana mbele wala nyuma, anakaa kwa wazazi, nikampangia na nyumba, baadaye nikamtafutia kazi, akaanza kunawiri na uzinzi na ufuska vikaja juu.
Nikamsema akajirekebisha. Wazazi wake wakikuwa wanakaa kwenye nyumba ya tope, nikawajengea nyumba ya kisasa, ilipo kamilika wakasema nataka kumtoa kafara mtoto wao ili nikuze biashara zangu, kumbe kuna msichana mwingine wamemtafutia mtoto wao.
Huyu dada hata angemsaidia mama mkwe figo kama angekua anaumwa bado kijana wao kama alikua hampendi asingempenda tu... Nature ya mapenzi "ASIYEKUPENDA unakuta unamuhitaji sana wakati huo ila UNAYEMPENDA hata yeye kwanza hakuwazii kabisa hata ujitoeje kwake"Nimejifunza kitu kuwa hata ufanyeje kama mtu hakupendi hakupendi tu. Acha kubabaika na watu utakuja kunishukuru. .
Ukitoa toa tu usiangalie fadhila nyuma utakuwa na amanita sana. .
Haya ni madini tupu. ππHuyu dada hata angemsaidia mama mkwe figo kama angekua anaumwa bado kijana wao kama alikua hampendi asingempenda tu... Nature ya mapenzi "ASIYEKUPENDA unakuta unamuhitaji sana wakati huo ila UNAYEMPENDA hata yeye kwanza hakuwazii kabisa hata ujitoeje kwake"
Karma is real, and sometimes is a real b!tch...
Mitoto ya siku hizi haina kauli tradition, msimamo na wala hawajielewi ndio maana wazazi wamekuwa na maamuzi makubwa sana juu ya mustakabali wa maisha ya vijana waoHivi anayehusika kwenye kuacha au kuachwa, ni wakwe au uliyetongozana nae?
Tuachane na ilo, siku zote hii I'd yako nilikuwa najua ni Ke, ila nilivyoanza kusoma haya maelezo yako, nikaanza kuhisi nilikuwa nakosea, wewe ni Me, ila ulivyohitimisha hapo mwishoni, ndo nikang'amua upya wewe ni Ke.
Anyway,kisicho ridhiki hakiliki. Muache aende.
Malezi chini ya mzazi mmoja, ndio chimbuko la haya. Mara 100 kama baba au mama, mmoja wapo ameachiwa mtoto peke yake, basi ampeleke kwa Babu na Bibi kama wote wapo.Mitoto ya siku hizi haina kauli tradition, msimamo na wala hawajielewi ndio maana wazazi wamekuwa na maamuzi makubwa sana juu ya mustakabali wa maisha ya vijana wao
Unataka kulelewa?Mbona hz bahati hazinikuti..pole sana.
Duh pole sana vipi kama ni kweli karma inawahusu.Mapenzi hayajawahi kumwacha binadamu salama.
Nilimkuta akiwa hana mbele wala nyuma, anakaa kwa wazazi, nikampangia na nyumba, baadaye nikamtafutia kazi, akaanza kunawiri na uzinzi na ufuska vikaja juu.
Nikamsema akajirekebisha. Wazazi wake wakikuwa wanakaa kwenye nyumba ya tope, nikawajengea nyumba ya kisasa, ilipo kamilika wakasema nataka kumtoa kafara mtoto wao ili nikuze biashara zangu, kumbe kuna msichana mwingine wamemtafutia mtoto wao.
Mbona umemuuliza kwa ukali? π π πUnataka kulelewa?
Vivulana vya siku hizi ni sifuri kabisaMbona umemuuliza kwa ukali? π π π
Kijana anataka matunzo huyo. Mtunze basi π π πVivulana vya siku hizi ni sifuri kabisa
Ashike jembe akalime awakomboe wazazi wake badala ya kutegemea hela za watu asiowajuaKijana anataka matunzo huyo. Mtunze basi π π π
π π π Kazi za Nguvu hawataki, Wana miili ya mapenzi, sio ya kuteseka.Ashike jembe akalime awakomboe wazazi wake badala ya kutegemea hela za watu asiowajua