Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅😅😅 Labda kweli alimfuga. Ila dah 😅Muulize mwenyewe au kama ilikuwa chai, kaishasahau
Ganja rydmVivulani ni sifuri kuliko nyie vibinti vinavyomiliki mabwawa ?!
View attachment 2528493
Sijaelewa...Mapenzi hayajawahi kumwacha binadamu salama.
Nilimkuta akiwa hana mbele wala nyuma, anakaa kwa wazazi, nikampangia na nyumba, baadaye nikamtafutia kazi, akaanza kunawiri na uzinzi na ufuska vikaja juu.
Nikamsema akajirekebisha. Wazazi wake wakikuwa wanakaa kwenye nyumba ya tope, nikawajengea nyumba ya kisasa, ilipo kamilika wakasema nataka kumtoa kafara mtoto wao ili nikuze biashara zangu, kumbe kuna msichana mwingine wamemtafutia mtoto wao.
Kweli kabisaNimejifunza kitu kuwa hata ufanyeje kama mtu hakupendi hakupendi tu. Acha kubabaika na watu utakuja kunishukuru. .
Ukitoa toa tu usiangalie fadhila nyuma utakuwa na amanita sana. .
Kulelewa raha sema basi tuu hatuna bahati wengine. Yaani wee unakuwa unalishwa valishwa kazi yako ni de libolo liwe imara tuu katika kutema wadhungu....Vivulana vya siku hizi ni sifuri kabisa
Ukinyanyasika usituletee kilioKulelewa raha sema basi tuu hatuna bahati wengine. Yaani wee unakuwa unalishwa valishwa kazi yako ni de libolo liwe imara tuu katika kutema wadhungu....
Kulelewa raha sema basi tuu hatuna bahati wengine. Yaani wee unakuwa unalishwa valishwa kazi yako ni de libolo liwe imara tuu katika kutema wadhungu....
Hakika,kama hupendwi hupendwi tuNimejifunza kitu kuwa hata ufanyeje kama mtu hakupendi hakupendi tu. Acha kubabaika na watu utakuja kunishukuru. .
Ukitoa toa tu usiangalie fadhila nyuma utakuwa na amanita sana. .
factNilichojifunza kwa wakwe ni kimoja
Wewe waheshimu,usijifanye we ndo mwema sana au unawajali sana ukataka kwenda overboard utaumia mana hao sio ndugu zako!
Just lay low and mind your business as long as huwakosei heshima!
Huyu ni mwanamke mkuu! Hujasoma uzi wote?Nilichojifunza kwa wakwe ni kimoja
Wewe waheshimu,usijifanye we ndo mwema sana au unawajali sana ukataka kwenda overboard utaumia mana hao sio ndugu zako!
Just lay low and mind your business as long as huwakosei heshima!
Nimesoma nikajua,ndo mana nimesema usiende overboard,sasa yeye alienda overboard akihisi akifanya vile ndo mapenzi yatanoga zaidi kumbe hakuna kitu kama hiko!Huyu ni mwanamke mkuu! Hujasoma uzi wote?
Njoo in box nikushaurMapenzi hayajawahi kumwacha binadamu salama.
Nilimkuta akiwa hana mbele wala nyuma, anakaa kwa wazazi, nikampangia na nyumba, baadaye nikamtafutia kazi, akaanza kunawiri na uzinzi na ufuska vikaja juu.
Nikamsema akajirekebisha. Wazazi wake wakikuwa wanakaa kwenye nyumba ya tope, nikawajengea nyumba ya kisasa, ilipo kamilika wakasema nataka kumtoa kafara mtoto wao ili nikuze biashara zangu, kumbe kuna msichana mwingine wamemtafutia mtoto wao.
Wanaume kama mabintiWanawake design hii yako huwa wanapatika wapi wazee nimeamua kutongoza manzi aliye na Ajira na mpolempole niane kama naye atatokea Kama ninaowaonaga kwenye stori [emoji23][emoji23][emoji23] nitampa penzi huyu mtoto mpaka siku asemw baby shika 100,000 ulipe kodi