Vitu gani vizuri uliwafanyia wakwe lakini ukaachwa?

Vitu gani vizuri uliwafanyia wakwe lakini ukaachwa?

Binadamu hatufadhiliki mkuu, pole sana, maisha haya ni kichefu chefu unavokutana na watu wa hivi.
 
Mapenzi hayajawahi kumwacha binadamu salama.

Nilimkuta akiwa hana mbele wala nyuma, anakaa kwa wazazi, nikampangia na nyumba, baadaye nikamtafutia kazi, akaanza kunawiri na uzinzi na ufuska vikaja juu.

Nikamsema akajirekebisha. Wazazi wake wakikuwa wanakaa kwenye nyumba ya tope, nikawajengea nyumba ya kisasa, ilipo kamilika wakasema nataka kumtoa kafara mtoto wao ili nikuze biashara zangu, kumbe kuna msichana mwingine wamemtafutia mtoto wao.
Sijaelewa...
Muhusika (aliyefanya haya) ni mwanamke wa kitanzania?

#YNWA
 
Kulelewa raha sema basi tuu hatuna bahati wengine. Yaani wee unakuwa unalishwa valishwa kazi yako ni de libolo liwe imara tuu katika kutema wadhungu....
IMG-20230226-WA0070.jpg
 
Nilichojifunza kwa wakwe ni kimoja
Wewe waheshimu,usijifanye we ndo mwema sana au unawajali sana ukataka kwenda overboard utaumia mana hao sio ndugu zako!
Just lay low and mind your business as long as huwakosei heshima!
Huyu ni mwanamke mkuu! Hujasoma uzi wote?
 
Mapenzi hayajawahi kumwacha binadamu salama.

Nilimkuta akiwa hana mbele wala nyuma, anakaa kwa wazazi, nikampangia na nyumba, baadaye nikamtafutia kazi, akaanza kunawiri na uzinzi na ufuska vikaja juu.

Nikamsema akajirekebisha. Wazazi wake wakikuwa wanakaa kwenye nyumba ya tope, nikawajengea nyumba ya kisasa, ilipo kamilika wakasema nataka kumtoa kafara mtoto wao ili nikuze biashara zangu, kumbe kuna msichana mwingine wamemtafutia mtoto wao.
Njoo in box nikushaur
 
Wanawake design hii yako huwa wanapatika wapi wazee nimeamua kutongoza manzi aliye na Ajira na mpolempole niane kama naye atatokea Kama ninaowaonaga kwenye stori [emoji23][emoji23][emoji23] nitampa penzi huyu mtoto mpaka siku asemw baby shika 100,000 ulipe kodi
Wanaume kama mabinti
 
Hata mm kama mzazi sikubali nijengewe nyumba na mkwe wa kike? Dharau asee
 
Back
Top Bottom