Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unawakilisha ubinafsi wa wanawakeHongera una kipaji aseeh..ni rahisi kuachwa maana we umekua baba Sasa ye ndo mama...
Mpe Mme majukumu yake ayafanye hata km nna 100m zimelala ntasema sina mpk aniombe aseehh
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wazazi wa hovyo walioshindwa kuwafundisha maadili watoto waoMitoto ya siku hizi haina kauli tradition, msimamo na wala hawajielewi ndio maana wazazi wamekuwa na maamuzi makubwa sana juu ya mustakabali wa maisha ya vijana wao
Ndio kwan vibaya.Unataka kulelewa?
Wazazi wa hovyo walioshindwa kuwafundisha maadili watoto wao
Inasikitisha aisee. Hivi ukiwa mkubwa utapenda uwe na mtoto kama wewe?Ndio kwan vibaya.
Sio ubinafsi wa mwanamke,mwanaumee anapaswa abebe familia yake kumuacha mke afanye yote hayoo inapunguza mwanaumee kujiamini kabisaaaUnawakilisha ubinafsi wa wanawake
Dada ulijenga ukweni?Mapenzi hayajawahi kumwacha binadamu salama.
Nilimkuta akiwa hana mbele wala nyuma, anakaa kwa wazazi, nikampangia na nyumba, baadaye nikamtafutia kazi, akaanza kunawiri na uzinzi na ufuska vikaja juu.
Nikamsema akajirekebisha. Wazazi wake wakikuwa wanakaa kwenye nyumba ya tope, nikawajengea nyumba ya kisasa, ilipo kamilika wakasema nataka kumtoa kafara mtoto wao ili nikuze biashara zangu, kumbe kuna msichana mwingine wamemtafutia mtoto wao.
Mapenzi hayajawahi kumwacha binadamu salama.
Nilimkuta akiwa hana mbele wala nyuma, anakaa kwa wazazi, nikampangia na nyumba, baadaye nikamtafutia kazi, akaanza kunawiri na uzinzi na ufuska vikaja juu.
Nikamsema akajirekebisha. Wazazi wake wakikuwa wanakaa kwenye nyumba ya tope, nikawajengea nyumba ya kisasa, ilipo kamilika wakasema nataka kumtoa kafara mtoto wao ili nikuze biashara zangu, kumbe kuna msichana mwingine wamemtafutia mtoto wao.
Inakuhusu?Unataka kulelewa?
Sio akaoshe nyota?Muombe Mungu
Umekuja na ID nyingineInakuhusu?