Vitu gani vizuri uliwafanyia wakwe lakini ukaachwa?

Binadamu hatufadhiliki mkuu, pole sana, maisha haya ni kichefu chefu unavokutana na watu wa hivi.
 
Sijaelewa...
Muhusika (aliyefanya haya) ni mwanamke wa kitanzania?

#YNWA
 
Vivulana vya siku hizi ni sifuri kabisa
Kulelewa raha sema basi tuu hatuna bahati wengine. Yaani wee unakuwa unalishwa valishwa kazi yako ni de libolo liwe imara tuu katika kutema wadhungu....
 
Nilichojifunza kwa wakwe ni kimoja
Wewe waheshimu,usijifanye we ndo mwema sana au unawajali sana ukataka kwenda overboard utaumia mana hao sio ndugu zako!
Just lay low and mind your business as long as huwakosei heshima!
Huyu ni mwanamke mkuu! Hujasoma uzi wote?
 
Njoo in box nikushaur
 
Wanaume kama mabinti
 
Hata mm kama mzazi sikubali nijengewe nyumba na mkwe wa kike? Dharau asee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…