Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
Habari ya mchana watu wangu wa nguvu kabisa😊😊mnaendeleaje na afya zenu jamani..mmeshapata lunch 🥙 jamni...maana ndo muda wenyewe huu😊😊
Siku zilizopita tulizungumzia vitu ambacho hatuvipendi katika maisha yetu ya kila siku lkni tunakuwa hatuna namna...😅😅watu mlitiririka...😄😄🤝🤝🤝sana.
Sasa leo tunazungumzia vitu tuvipendavyo katika maisha yetu ya kila siku ..si ndio eee...eheee😊😊😊
Nitaanza na mimi mambo yasiwe mengi😅😅..
Napenda
1.kupika👩🍳
2.kula🥙🌯🌮🍲🥗🍤🥘🥪
3.kuishi/kukaa sehemu/au mazingira yaliyotulia mnooooo niwe nasikia sauti za ndege tu.🥰🥰
4.kupiga “game”sehemu ambayo sio rasmi kama vile sebuleni🙈🙈🙈jikoni🙆♀️🙆♀️💁♀️💁♀️💁♀️Nikiwa nakatakata vitunguu mguu mezan 🙊🙊 🤫🤫(hapa inabidi niwe makini na pilipili mambo yasije yakaharibika)basi tu mradi vurugu tu😅😅mara vitunguu vimeungua...,,nyanya sijui zimefanyaje huko...mara sijui hiki kimefanyaje🤭🤭basi ni vurugumechi mtindo mmoja😅😅😅😅bafuni🤦♀️🤦♀️jizazi..maisha haya😁😁😁🤷♀️🤷♀️🤷♀️🤷♀️🤷♀️ 🤪🤪🤪
5.kuwatch movie na babe huku nimemlalia kwa kifua 🙈🙈🤦♀️🤦♀️🤦♀️Yatakayojiri wakati tutakaokuwa tunaangalia movie 🍿 nitarudi kuwahadithia💃💃💃💃🤪🤪
Tusichukulie maisha siriazi sana jamani 😅😅 tufurahi kidogo ndugu zanguni 🥰😘😘😘
Wikend hiiiyoooooooo....ndo kwanza mpya bado haijachakaa woooooozaaaaaahhh🧚♀️🧚🧚♀️🧚♀️
Waaaaaaaaahhiiiiiiiiiiii..maisha ndo haya haya tu furaha tu hakuna namna😅😅 si ndio eee....eheeee...🧚♀️🧚♀️🧚♀️🧚♀️🧚♀️
Take gud care of yourselves guys..
🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂
Siku zilizopita tulizungumzia vitu ambacho hatuvipendi katika maisha yetu ya kila siku lkni tunakuwa hatuna namna...😅😅watu mlitiririka...😄😄🤝🤝🤝sana.
Sasa leo tunazungumzia vitu tuvipendavyo katika maisha yetu ya kila siku ..si ndio eee...eheee😊😊😊
Nitaanza na mimi mambo yasiwe mengi😅😅..
Napenda
1.kupika👩🍳
2.kula🥙🌯🌮🍲🥗🍤🥘🥪
3.kuishi/kukaa sehemu/au mazingira yaliyotulia mnooooo niwe nasikia sauti za ndege tu.🥰🥰
4.kupiga “game”sehemu ambayo sio rasmi kama vile sebuleni🙈🙈🙈jikoni🙆♀️🙆♀️💁♀️💁♀️💁♀️Nikiwa nakatakata vitunguu mguu mezan 🙊🙊 🤫🤫(hapa inabidi niwe makini na pilipili mambo yasije yakaharibika)basi tu mradi vurugu tu😅😅mara vitunguu vimeungua...,,nyanya sijui zimefanyaje huko...mara sijui hiki kimefanyaje🤭🤭basi ni vurugumechi mtindo mmoja😅😅😅😅bafuni🤦♀️🤦♀️jizazi..maisha haya😁😁😁🤷♀️🤷♀️🤷♀️🤷♀️🤷♀️ 🤪🤪🤪
5.kuwatch movie na babe huku nimemlalia kwa kifua 🙈🙈🤦♀️🤦♀️🤦♀️Yatakayojiri wakati tutakaokuwa tunaangalia movie 🍿 nitarudi kuwahadithia💃💃💃💃🤪🤪
Tusichukulie maisha siriazi sana jamani 😅😅 tufurahi kidogo ndugu zanguni 🥰😘😘😘
Wikend hiiiyoooooooo....ndo kwanza mpya bado haijachakaa woooooozaaaaaahhh🧚♀️🧚🧚♀️🧚♀️
Waaaaaaaaahhiiiiiiiiiiii..maisha ndo haya haya tu furaha tu hakuna namna😅😅 si ndio eee....eheeee...🧚♀️🧚♀️🧚♀️🧚♀️🧚♀️
Take gud care of yourselves guys..
🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂