Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
siwezi kuacha ndugu maana ulimwengu huu bila mungu si loloteUkimkiri kwa kinywa chako ni lazima apate nguvu.ila ukimkataa..utafanikiwa vingi...
Nakusihii..usiache kusali hata iweje
Wenye ndoto za kuwa hivyo wanaweza kuziishi ndoto zao lkn wakae wakijua sio kwa asilimia Mia!.. wasitegemee moja kwa moja kuzipata hizo nafasi na wakae wakijua sio muvi ile ni real so chochote kinaweza kukupata na uzalendo ndio nafasi ya kwanza kwenye ile kazi na sio hela!,maana idara Kama zile pesa sio tatizo labda ukute mahali wasipojielewa maana ni sawa na kuuliza damu kwenye Moyo!.. so moyo tayari unadamu ya kutosha tatizo ni namna ya kuisambaza hiyo damu ili mwili ukawe hai na secure!..😊😊😊 kaka umeeleza kile ambacho nilitaka kusikia..safi!🥰🥰
Unawashauri nini vijana ambao wanandoto za kujiingiza katika hiyo idara mkuu
😂😂😂😂ati kupika majiSafiiiiii😅😅nilijua unapenda kupika maji😅😅
Kumbe unakaa kuolewa🤭🥂🥂🥂🧚♀️🧚♀️
mwenzangu weee😅😅usije ukashangaa mimba kwanza na ubwabwa tusiule😆unawajua binadamu wewe
kibongee haswaa shoga anguWeee usiniambie shogaaa😅
Vitu vitatu tunafanana mkuu...
Safi sana..
Kwenye kupika unapenda kupika aina gani ya chakula??
Na unapenda kula aina gani ya chakula
Napenda kula kula tu nyama, tukuku, chips,bites nk ili mradi tu mdomo usitulie.Unapenda kula kula nini madam?ni aina gani ya chakula kinachoufurahisha moyo wako?!
Muziki wa aina ipi huufurahisha moyo wako??unapenda kucheza peke yako ukiwa umetulia,au ukiwa unafanya kazi mfano kupika,kuisha vyombo,,au ukiwa unasafisha nyumba?au ukiwa club?
Ukiachana na kuimba ukiwa chooni..ni kitu gani kingine huwa mara nyingi kinakujia au mawazo gani huwa yanakujia uwapo chooni??
Wanawake na chipsi bana[emoji846][emoji846]Napenda kula kula tu nyama, tukuku, chips,bites nk ili mradi tu mdomo usitulie.
Mziki wowote utakaonivutia siku hiyo, ila napenda Reggae love songs,na zingine, hiyo cheza yake sasa,sijui hata naruka ruka tu humo ndañi nikiwa home[emoji3],sijawahi kwenda club aisee
yaani kama mimi tu sipendagi kabisa eti kuzurura I'm an introvert in general sijazoeana sana na watu napenda kuandika mavitu vitu nikiwa home..Napenda kukaa nyumbani
Yaani huwa najisikia amani sana nikikaa nyumbani tena niwe na kila kitu humo ndani
Napenda kulala mno
Napenda kuimba,haipiti siku sijaimba
Chakorii mama nikisema kupika ujue ni kupika kila kitu,Hapa nilipo sina chakula sijui kupika Nadhani hii n kwasababu ya maisha yangu ya biashara biashara,labda utajiuliza nimejuaje kupika vyakula hivyo?!Najikuta nakosa cha kukuuliza CONTROLA haki tena umemaliza kila kitu aiseh 😃
Lakini siwezi kubali nikaacha kukuuliza japo kidogo🤪unapenda kupika nini??na ukipika nani anaekula hicho chakula??maana unapenda kupika lkni huli😅😅
😄😄mkuu hakuna mtu kama wewe huko mtaani kwenu mwenye sifa kama hizi na yuko singali!!!aise mwamba umetisha...hakika wifi huko kila siku a namshukuru Mungu kwa ajili yako kukupata...
Wanaume kama wewe aiseh sidhani kama bado wapo😆😆😆
Najikuta nakosa cha kukuuliza CONTROLA haki tena umemaliza kila kitu aiseh 😃
Lakini siwezi kubali nikaacha kukuuliza japo kidogo🤪unapenda kupika nini??na ukipika nani anaekula hicho chakula??maana unapenda kupika lkni huli😅😅
😄😄mkuu hakuna mtu kama wewe huko mtaani kwenu mwenye sifa kama hizi na yuko singali!!!aise mwamba umetisha...hakika wifi huko kila siku a namshukuru Mungu kwa ajili yako kukupata...
Wanaume kama wewe aiseh sidhani kama bado wapo😆😆😆
😄😄mkuu hakuna mtu kama wewe huko mtaani kwenu mwenye sifa kama hizi na yuko singali!!!aise mwamba umetisha...hakika wifi huko kila siku a namshukuru Mungu kwa ajili yako kukupata...
Wanaume kama wewe aiseh sidhani kama bado wapo😆😆😆