Vitu tuvipendavyo katika maisha yetu ya killa siku

Vitu tuvipendavyo katika maisha yetu ya killa siku

Napenda sana rubics cube kila nnapokwenda siiachi nnapopata ka gep tu huwa nakomaa na pazo yangu

napenda Jamii forums
kupika pia ni hobi yangu Maana sipendi kula chakula migahawani wala sipendi fastfud maana znamaliza sana pesa
napenda kukaa ndani mwenyewe bila kuchangamana na watu.
Vizuri.

Unapenda kupika nini sasa mkuu..

Utakuwa mwana uchumi maana sio kwa kumaliza huko pesa kwenye fastfood unakokusemea..

Wakati uko nyumbni imekaa peke yako,,ni nini hupenda kujishughulisha nacho ?
 
Umenizid kupitisha siku bila kukunywa aiseh..

Uko kinywaji cha ngapi mpka sasa huko ulipo..
Nilikunywa sparkling apple punch mbili mchana na jioni, after dinner nikakunywa ka glass ka red wine inaitwa Mohans 😛
 
1. I do like staying indoors kama sina sababu ya msingi ya kunitoa nje....

2. Kulala

3. Staying indoors with bae, yatakayoendelea hapo hayawahusu...

4. Kula kula snacks, bites and the like

5. Muziki

6. Napenda kunywa, ni ngumu kumaliza siku sijanywa kimiminika cha aina nyingine tofauti na maji

Is a weekend, drink responsibly drink wiser 🍻
Happy weekend to y'all...

Mjep kuna ginger ale yako inakusubiri hapa 😆
Usiseme Ginger ale tu, sema Ginga ale baridiiiiii😋
 
Nilikunywa sparkling apple punch mbili mchana na jioni, after dinner nikakunywa ka glass ka red wine inaitwa Mohans 😛
Wacha weee...natumai Ijumaa yako ili kwenda vizuri kabisa
 
Habari ya mchana watu wangu wa nguvu kabisa😊😊mnaendeleaje na afya zenu jamani..mmeshapata lunch 🥙 jamni...maana ndo muda wenyewe huu😊😊

Siku zilizopita tulizungumzia vitu ambacho hatuvipendi katika maisha yetu ya kila siku lkni tunakuwa hatuna namna...😅😅watu mlitiririka...😄😄🤝🤝🤝sana.

Sasa leo tunazungumzia vitu tuvipendavyo katika maisha yetu ya kila siku ..si ndio eee...eheee😊😊😊
Nitaanza na mimi mambo yasiwe mengi😅😅..

Napenda
1.kupika👩‍🍳

2.kula🥙🌯🌮🍲🥗🍤🥘🥪

3.kuishi/kukaa sehemu/au mazingira yaliyotulia mnooooo niwe nasikia sauti za ndege tu.🥰🥰

4.kupiga “game”sehemu ambayo sio rasmi kama vile sebuleni🙈🙈🙈jikoni🙆‍♀️🙆‍♀️💁‍♀️💁‍♀️💁‍♀️Nikiwa nakatakata vitunguu mguu mezan 🙊🙊 🤫🤫(hapa inabidi niwe makini na pilipili mambo yasije yakaharibika)basi tu mradi vurugu tu😅😅mara vitunguu vimeungua...,,nyanya sijui zimefanyaje huko...mara sijui hiki kimefanyaje🤭🤭basi ni vurugumechi mtindo mmoja😅😅😅😅bafuni🤦‍♀️🤦‍♀️jizazi..maisha haya😁😁😁🤷‍♀️🤷‍♀️🤷‍♀️🤷‍♀️🤷‍♀️ 🤪🤪🤪

5.kuwatch movie na babe huku nimemlalia kwa kifua 🙈🙈🤦‍♀️🤦‍♀️🤦‍♀️Yatakayojiri wakati tutakaokuwa tunaangalia movie 🍿 nitarudi kuwahadithia💃💃💃💃🤪🤪

Tusichukulie maisha siriazi sana jamani 😅😅 tufurahi kidogo ndugu zanguni 🥰😘😘😘
Wikend hiiiyoooooooo....ndo kwanza mpya bado haijachakaa woooooozaaaaaahhh🧚‍♀️🧚‍🧚‍♀️🧚‍♀️

Waaaaaaaaahhiiiiiiiiiiii..maisha ndo haya haya tu furaha tu hakuna namna😅😅 si ndio eee....eheeee...🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️
Take gud care of yourselves guys..
🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂
Una uhanga wewe si bure, unachokitafuta utakipata
 
Kama tujuavyo ugali wa Dona huwa unachagua mboga sana..
Ni mboga gani zaidi zinazokupendeza ukiwa na huo ugali wa Dona?

Mbali na uya somayo na kukufurahisha katika hizo hadithi za kijasusi,,hujawahi kuwa na matamanio labda na wewe pengine siku moja ungekuwa mwandishi wa hadithi hizi pendwa na watu wakawa wanakusoma?au mbinu kutumia mbinu zaidi ya zilizotumika katika hadithi ulizowahi kuzisoma ?

Kama tunavyojua katika hadithi nyingi za kupelelezi mkono ni lazima utembee ndani yake,,je ulishawahi kusaidika au kutumia mbinu ulizozisoma katika hadithi hizo kwenye maisha yako ya uhalisia na zikakuokuoa katika hatari!!?

Na je!hujawahi kutamani/kupenda kuwa mmoja wa wapelelezi katika idara hii ambayo vijana wengi wenye umri fulani huwa na usongo wa kufanya kazi ya kipelelezi?
Hayo ya Dona tuachanenayo maana si mtaalum kivile kujua inalika na mboga hii au hii!.. mi ni twanga ilale na nachojua toka nimeanza kula hakuna chakula kilichonilitea mzio!..

Napenda kuwa muandishi lkn akili yangu haijatulia!.. muandishi makini lzm uwe umetulia maana swala sio kuandika tu,Bali kuandika kilicho kizuri chenye matukio mujarabu,lugha tamu na mbinu yakinifu.. I can try to write but sio kazi nyepesi na inakula muda sana..!😅

Haha hizo mbinu sijawahi tumia maana mi si mtu wa maugomvi tofauti na vile wengi wanavyodhania hapa jf!.. ila siku nikibananika nikakumbuka najivika ujasiri wa joram kiango au Willy gamba..😂 japo si rahisi lkn ikibidi imebidi.. 😉

Kuhusu kupenda hiyo idara nilishawahi kuipenda tena Sanaa na kutamani kuwa Kama wao!.. lkn kadri niliposoma makala nyingi kuhusu hiyo idara na kuyajua mengi na namna yao wanavyochuka watu.. mawazo ya kuwa mmoja wao yakafutika sahivi sina hata matamanio.. hata ikitokea bahati ya mkenge wakinifata kuwakubalia wasifikiri!!.. kule Mambo si kama muvi tunavyofikiria! It needs more intelligent people,taff people na sifa fulani.. Sasa hizo mi naziokotea wapi.. hata ikitokea ugomvi tu mbaliga nnazotoka najua mimi.. mi nachojua Kama kuna ndugu yangu kwenye ugomvi husika ntahakikisha namtoa au anakuwa safe halafu mimi huyo..😂😂 kaoga ila nikikuamulia lzm uipatepate..

Kusema kweli hiyo idara ya upelelezi sahivi hata siiwazi Kama naweza kuwa mmoja wao!.. sahivi nimebakiza kufatilia ulinzi wa rais unavyofanya kazi na kuangalia utendaji wao basi tu..
 
😅😅😅anaweza akakukubalia wewe kwa sababu ya kitu,,,halafu zagarinojo akapendwa kwa dhati 🤭🤭😃😃😃
Ambacho hukijui dada nina wivu mpk kero!! Hapo tu huto tu maneno twako tumeshaulalua moyo!.. bahati nzuri mi introvert so i can handle that..😜

Pamoja na kwamba ninawivu lkn najua kushika na kuachia!.. mi nimwepesi kuachia hata Kama nitaumia lkn nikishajua mtu hanipendi njia nyeupe kabisa!.. ila huwa sipendi mtu aende hivihivi lzm nipandikize kitu moyoni mwake ili nae hata Kama ataenda badi lzm akumbuke kugeuka nyuma tu!!..😜
Ubaya wangu wivu wangu huishia ndani kwa ndani!.. ila nawe hata Kama utaondoka kwakuwa ulishawahi kukakaa karibu nami basi lzm kakitu fulani kakutafune..😜
 
Unabalaa wewe sijui ukojeee...
🤮🤮🤮
Tumewazoea akinamama wanaoanzisha sredi kama hizi ni nini wanatafuta wakishapata, huwaoni tena wanatulia tuli. Sasa nakuona wiki hii, kwa bibi kunataka na pengine mkunaji hayupo! Wanakuja akina
 
Tumewazoea akinamama wanaoanzisha sredi kama hizi ni nini wanatafuta wakishapata, huwaoni tena wanatulia tuli. Sasa nakuona wiki hii, kwa bibi kunataka na pengine mkunaji hayupo! Wanakuja akina
Ulivyo na akili ya kipuuzi kama boga kiangazi unafikiri mimi ni wa leo JF..ukielewa maana ya chitchat hutoleta upoyoyo wako

Hivi unafikiri kila mwanamke huku JF a nategemea mwanaume wa kutoka huku?kama wewe ukiwa na hizo nyege mshindo zako hukimbilia JF kupata vipoozeo basi ni wewe..huwa nakuona za sana kwenye nyuzi za watu ukileta miyeyusho 👎

Hey...nilitaka kusahau...hapa nilipo mr yuko hoi kalala kwa uchovu kutokana na kishindo cha usiku mzima..
Unaakili fupi sana..stupid.

hivi kwanza nakujibu wa nini!!nikiendelea kukujibu nitaonekana ninaakili za kipuuzi kama zako.
🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂
 
Back
Top Bottom