Bado shemegiNa wewe umeoa..
zagarinojo huyu ni mmoja kati vichwa vya jinsia ya kike vyenye kupenda mpira na kufuatili..Movies
Kufatilia mpira esp EPL
Kucheza draft kwa simu
Kula likes JF
Kubishana na fans wa domo
Kila nikiona comment yako popote pale huwa nastuka.1. Nikae ufukweni na kitabu changu na kinywaji kisicho na kilevi.
2. Nitembee sehem yenye utulivu wakati wa jioni.
3. JF
Maswali gani haya dada..? Utafanya nikose mke ndio maana sijagusia.😅Vizuri blaza...hupendi madem kaka😅😅
[emoji2089][emoji2089][emoji2089]cute eyes hivi wewe ni chibonge kama mimi
. Chakorii mi ni fan no1 wa Mond lakini pia die hard fan wa Messi.zagarinojo huyu ni mmoja kati vichwa vya jinsia ya kike vyenye kupenda mpira na kufuatili..
Sasa mr conclusion kuwa makini[emoji28][emoji28]
Utakuwa wewe ni team [emoji1780] kiba kama mimi..[emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059]
mke wangu @ saint anneShemegi hiyo vipi..unaniuzi
Saint Anne njoo
Pombe poNdo kitu gani hiyo ponyaku mkuu
Kila nikiona comment yako popote pale huwa nastuka.
Utakuwa na maisha ya amani na marefu..inaelekea hupendi heka heka🤛🤛🤛
Kenzy we unajua tumeongea nae nini uyo tumepanga mengi pamoja nayeUsihofu hata ukitaka na mimba nitakupa mama ilimradi tu nisikukose..[emoji6]
Yes ni kweli...Usiwe unashtuka, urefu au ufupi wa maisha unasababishwa na mambo mengi sana. Kuwa mtulivu haimaanishi utachelewa kufa, unawezakua unafanya mambo mengine mabaya zaidi yanayohatarisha uhai/afya.
Ni kwa vile tu sipendi kujichanganya sana, naweza kufurahia kitu ambacho mwingine hawezi kunielewa, ndio maana muda mwingi nakua peke yangu. Lakini anapotokea mtu tunaefurahia nae hivyo viyu vidogovidogo maisha yanakua matam sana.