Vitu vinatukwamisha Taifa kusonga mbele, bali yakipungua mambo haya Tanzania ingekuwa tupo mbali mno

Vitu vinatukwamisha Taifa kusonga mbele, bali yakipungua mambo haya Tanzania ingekuwa tupo mbali mno

Mkuu,

Hatuwezi kiwa taifa lisilo na hobby/ushabiki fulani. Hata familia isiyo na hobby huwa ina matatizo mengi.

Ndiyo maana wakati wengine wakizungumzia simba na yanga, wengine hukaa kuanzia saa 1 mpaka saa 6 wanaangalia maigizo Azam TV, wengine wako netflix usiku kucha hasa hiki kizazi kipya, wengine wako bar wanalewa usiku kucha wengine wanabet n.k

Sasa ukilaumu simba na yanga tu utakuwa mtu wa ajabu. Ubaya ni kiwa kila mtu ana hobby yake ukiona mtu hana hobby maana yake ubongo wake ni mdogo sana, big brains wanafanya mambo mengi tu ya hovyo na maisha yao yanakwenda.
Rudi kusoma tena bandiko langu. tunahitaji kuwa na hobby, lakin with moderation.

Impact ya watu kutofanya kazi, unaiona kupitia huduma zitolewazo na serikali!

Muda unao tumika kujadili hobby ni mwingi sana kuliko uzalishaji! na hii inasababishwa na ignorance tuliyo nayo kutokana na kukosa elimu thabiti inayo mjenga mtu kutambua umuhimu wake katika sekta za uzalishaji vs maendeleo ya Nchi yake
 
Kuna genge la watu flani sasa ni wazee, hao wakifa nchi itaamka, sera mpya zinazoenda na wakati zitafikiwa , hao ndio kikwazo cha maendeleo ni miungu watu wenye mawazo mgando ya kutawala na si kuongoza!!

Nakuunga mkono nchi yetu ni kisiwa kwa kufundishana kiswahili shuleni lengo sote tubaki humu humu ili tuwapigie kura, siku zenyewe si nyingi ikizidi sana miaka 70 tunakufa ila wao wanadhani wataishi milele, nonsense kabisa.

Tukijifunza in English from vidudu hadi chuo ni hatari kwao sababu kila raia ataweza kujua mambo mengine mengi yaliyo katika English kutoka kila pande ya dunia na ataweza kuwasiliana na mtu yoyote duniani anaeongea English na kuna vijana wapiga kura watahama nchi. Hilo halitakiwi! Ujinga wa watu ni msaada kwa matumbo ya watu.

Kuhusu kushabikia mpira nadhani hujawaza sana, mpira ni ajira na biashara, tunahitaji kuukuza kina Mzize nao wafurahie kuishi.
 
Rudi kusoma tena bandiko langu. tunahitaji kuwa na hobby, lakin with moderation.

Impact ya watu kutofanya kazi, unaiona kupitia huduma zitolewazo na serikali!

Muda unao tumika kujadili hobby ni mwingi sana kuliko uzalishaji! na hii inasababishwa na ignorance tuliyo nayo kutokana na kukosa elimu thabiti inayo mjenga mtu kutambua umuhimu wake katika sekta za uzalishaji vs maendeleo ya Nchi yake
Mimi nafikiri tatizo letu sio simba na yanga.

Nadhani shida yetu kubwa ni kushindwa kuwajibika kuanzia on a peraonal level, jamii n.k. Mtu akifeli lazima atafute wa kumuangushia lawama.

Tunaamini serikali ndiyo inatakiwa kufanya, nadhani labda ujamaa wetu ambao ni mzuri kwenye kujenga umoja wa kitaifa lakini kiuchumi hatukuupokea kwa usahihi.
 
1. YANGA NA SIMBA - Ni burudani iliyogeuka kuwa sumu, inapewa umakini mkubwa sana kuzidi mambo ya kitaifa, ndio maana ligi ikisimama huwa ni ngumu kuzima skendo nzito, Watu wanajua kikosi kizima lakini hawajui chochote kuhusu vifurishi vya bima.

2. Kutumia kiswahili shuleni - Kama taifa tumeshaambulia aibu kibao kuanzia kwa Mawaziri, Marais, wakalimani, n.k. wenye PHD zao, wanapata ugumu Kuelewa, kujieleza, kuchangia mawazo, n.k. English ni lugha ya kimataifa ni lazima watoto wafundishwa kuanzia shule ya msingi tena ikibidi waletwe wakenya maana english medium kibao waalim wa kiingereza lugha inawapa shida wanajua kufundishia ubaoni pekee, Hali hii imefanya watanzania wengi kuogopa kutoka nje ya nchi, Wakenya na wahindi wanapiga pesa ndefu kwenye biashara za kimataifa kwa maloghafi za Tanzania, n.k.

3. Ulafi- mfano mdogo tu Tanzania ni nchi yenye pato dogo kitaifa, wananchi wanajikamua kulipa kodi lets say imefika bilioni 1, serikali inanunua magari matatu vx michuma ya kisasa, Bajeti hio inaweza kununua Hilux 20 mpya imara ila ukitoa hayo mawazo wanakimbilia Kujitetea kwamba "Mnataka tutembelee baiskeli ?" Barabara zetu sehemu nyingi ni moja inatumika na magari yote, ajabu ni kwamba kiongozi anataka attention kwa kusimamisha magari yote lisaa zima ili aonekane, ni ubinafsi !!

4. Uchawa

Soma Pia: Ningekuwa Rais ningefanya mambo haya muhimu zaidi
Uchumi wetu mbovu ndo unaotukwamisha hayo mambo ya simba na yanga sijui lugha ya kiswahili wala sio tatizo, usiyasingizie. Tutafute viongozi walio na mipango thabiti naya muda mrefu kudeal na issues za uchumi, tutatoboa. Wazungu huko kwao wanashabikia mpaka mashindano ya mbio za mbwa lakini kwa sababu ya kuwa smart kichwani kwenye mambo ya uchumi maisha yanaenda vizuri tu.
 
1. YANGA NA SIMBA - Ni burudani iliyogeuka kuwa sumu, inapewa umakini mkubwa sana kuzidi mambo ya kitaifa, ndio maana ligi ikisimama huwa ni ngumu kuzima skendo nzito, Watu wanajua kikosi kizima lakini hawajui chochote kuhusu vifurishi vya bima.

2. Kutumia kiswahili shuleni - Kama taifa tumeshaambulia aibu kibao kuanzia kwa Mawaziri, Marais, wakalimani, n.k. wenye PHD zao, wanapata ugumu Kuelewa, kujieleza, kuchangia mawazo, n.k. English ni lugha ya kimataifa ni lazima watoto wafundishwa kuanzia shule ya msingi tena ikibidi waletwe wakenya maana english medium kibao waalim wa kiingereza lugha inawapa shida wanajua kufundishia ubaoni pekee, Hali hii imefanya watanzania wengi kuogopa kutoka nje ya nchi, Wakenya na wahindi wanapiga pesa ndefu kwenye biashara za kimataifa kwa maloghafi za Tanzania, n.k.

3. Ulafi- mfano mdogo tu Tanzania ni nchi yenye pato dogo kitaifa, wananchi wanajikamua kulipa kodi lets say imefika bilioni 1, serikali inanunua magari matatu vx michuma ya kisasa, Bajeti hio inaweza kununua Hilux 20 mpya imara ila ukitoa hayo mawazo wanakimbilia Kujitetea kwamba "Mnataka tutembelee baiskeli ?" Barabara zetu sehemu nyingi ni moja inatumika na magari yote, ajabu ni kwamba kiongozi anataka attention kwa kusimamisha magari yote lisaa zima ili aonekane, ni ubinafsi !!

4. Uchawa

Soma Pia: Ningekuwa Rais ningefanya mambo haya muhimu zaidi
Kitu kinacho tukwamisha nchi hii isisonge kimaendeleo zaidi ya tulivyo sasa ni chama cha kijani na hichi kirusi kime athiri nyanja nyingi sana kwwny system ….. ila ukiwa na D ya somo la Dini huwezi nielewa
 
Ni kazi ya serikali na imefanya,wewe ulitakaje?..haya mnataka tuwafuate wapi mnakotaka kutupeleka!?..watu wenyewe hamna sera,kazi kudandia

Ni kazi ya serikali na imefanya,wewe ulitakaje?..haya mnataka tuwafuate wapi mnakotaka kutupeleka!?..watu wenyewe hamna sera,kazi kudandia matukio tu
Mimi sina chama ni mtu huru
 
Back
Top Bottom