Mc Tilly Chizenga
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 4,641
- 3,680
Kwahyo wale maxhabik wote wanadanganywa?[/Q
kwani baada ya kugundua ni maigizo kuna utamu ulipungua ktk show zao??wenzako wanajua ni burudani tu wanajazana ukumbini miaka nenda rudiBaada ya kugundua ni maigizo nikaacha kufatilia
Mkuu sheria za olimpik na drugs wapi na wapi.. Wrestler ni moja ya watu wanaoongoza kwa utumiaji wa madawa, hii inadhihirishwa hata na sababu za vifo vyao walio wengi.FATILIAnikupe swali la kujiuliza,ushawahi kujiuliza kwanini aina hiyo ya mieleka haipo katika mashindano ya olimpiki??
Live acting!? Kwa hiyo hata wale wanaonyanyuliwa na kutushwa chini ni live and true?
Issue sio Recording au Live,Mkuu usibishe ile ni recording
ahsanteKwanza kabla ya kukujibu swali lako!, hivi unajua kuwa yale ni maigizo yanayoratibiwa vizuri!?..
kwa wajuzi wa mchezo huu naamin mtanisaidia hili swali , hivi vile vitu vinavyo halibiwa na hawa wacheza mieleka kama Tv, Meza, n.k. vinalipwa na nani?
darasa la saba hawa fb kunawafaa na sio humu.
ubongo ushau-switch kwny ukwel....kwani baada ya kugundua ni maigizo kuna utamu ulipungua ktk show zao??wenzako wanajua ni burudani tu wanajazana ukumbini miaka nenda rudi
Wengi wanaamini ni kweliWWE zamani nilikuwa nahisi ni kweli
haa haaa haaa,kwa hiyo mabadiliko yametokea upande wako,kule show zipo kwa kiwango kilekile!!!mi nilipogundua kuwa ni burudani tu na sio kitu halisi ndio nikapenda zaidi,maana nilikuwa na hofu na mashaka mengi kuwa ile kitu imepangwa!!ikitokea nikaenda ukumbini huko mbeleni kitu cha kwanza nitakagua kama vile viti ni vya chuma kweli,nahisi ni vya plastic!!!ttz
ubongo ushau-switch kwny ukwel....
Mkuu Yale ni maigizo na mbona IPO waZiNpo hapa naangalia mechi ya mwisho ya golbergy vs brock lesnar..
Ati nini....? Maigizo...? Ngoja nkuache uendelee kuamini unachoamini!!
Sure Boss. Jamaa wanafanya entertainment hamna kingineWengi wanaamini ni kweli
Mkuu mbona hata wasanii wa muziki wanadondoka jukwaani na kuumia? Kwahiyo mtu akiwa anaigiza hatakiwi kuumia? Davido aliporomoka jukwaani akaumia akiwa anatoa show.Mkuu sheria za olimpik na drugs wapi na wapi.. Wrestler ni moja ya watu wanaoongoza kwa utumiaji wa madawa, hii inadhihirishwa hata na sababu za vifo vyao walio wengi.FATILIA
Wengi mnasema huu ni mchezo wa maigizo. SIO KWELI. Mchezo huu km ilivyo michezo mingine huongozwa kwa sheria na kanuni. FATILIA
Watu wanapata vilema vya kudumu nyie mnasema maigizo. Watu wanafia uwanjani nyie mnasema maigizo. So Undertaker kushinda WrestleMania32-2 ni planned? FATILIA
Goldbergy kaludi ulingoni bda ya miaka zaidi ya kumi kupotea,sababu hasa ni kashfa za Brock lesnar kuwa hakuna Wrestler yeyote anayeweza kumzuia. Jamaa ndio akaona isiwe tabu. Akarejea kudhihirisha brock anapogika. Hio nayo ni planned?