Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
1. Kutokufanya mazoezi
2. Ulaji wa hovyo vyakula vyenye mafuta
3. Ulevi kupita kiasi
4. Ngono zembe
5. Kuto fanya check-up ya afya yako angalau mara moja kwa mwaka.
6. Umasikini
Hapa kwenye umasikini jitahidi usiwe masikini kwa muda mrefu kwani umasikini unaweza kuleta mengine yote hapo juu.
2. Ulaji wa hovyo vyakula vyenye mafuta
3. Ulevi kupita kiasi
4. Ngono zembe
5. Kuto fanya check-up ya afya yako angalau mara moja kwa mwaka.
6. Umasikini
Hapa kwenye umasikini jitahidi usiwe masikini kwa muda mrefu kwani umasikini unaweza kuleta mengine yote hapo juu.