Tumwesige senior
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 3,506
- 6,305
poa kiongoziZipo ila uwazidi pesa wanaozitaka. Hata ukitaka tani nzima wapo tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
poa kiongoziZipo ila uwazidi pesa wanaozitaka. Hata ukitaka tani nzima wapo tu
Mzee wako anaitwa Alvarez?Mitishamba ndio uhalisia wetu wazee wetu walionekanaa wajuzi na hekima nyingi kupitia mitishamba tusiipuuuze
Kwahiyo unamtisha mkuu au 🤣🤣Sawa Mkuu maisha ya kisiwani yanaemdeshwa na ushirikina hivyo unabidi kujizatiti
Hizi ndio shuhuda??samaki wapo wa kutosha lakini,au bei zimechangamka
Hongera sanaUlishawahi kukutana na dawa ya ugonjwa lakini ukashindwa hata kuamini imewezekana vipi?
Miezi kadhaa hapa nyuma niliamka tu mguu unaumwa kama vile umetenguka. Wakati huo sijakutana na hali yoyote yenye uwezo wa kusababisha majeraha. Muda ulivyokuwa ukizidi kwenda hali ikazidi kuwa mbaya kiasi kwamba hata kutembea tu ikawa shida. Nilitumia dawa nyingi za kuchua na zingine za maumivu lakini wapi. Mguu ukavimba mpaka watu wengine wakaanza kusema nimekanyaga mtego. Nilijikanda madawa na madawa na madawa kama siku 7 lakini hali ilikuwa ile haikubadilika. Sik moja jamaa akaja akaniambia kuwa nijikande na nyasi za mwalilo. Hizi nyasi huwekwa ndani na watu wa kagera kwa ajiri ya kukaa hasahasa kwenye vijiwe vya kahawa na pombe. Nikaamua niende kwenye kilabu cha pombe kuzuga na soda huku nikitumia hizo nyazi kujikanda. Maana alisema nihakikishe tu hizo nyasi zinakanyagwa na watu wengi na nijikande tu bila hata kuzichemsha. Yaani unazoa tu na kujikanda. Nilifanya hivyo pasipo hata imani yoyote kwa jioni ile kisha nikachechemea zangu kwenda kulala. Cha kushangaza kesho yake mguu ulikuwa umepunguza uvimbe kwa kiwango kikubwa sana naumepunguza sana maumivu. Kwakifupi ndani ya siku mbili tu nilikuwa naweza kuvaa viatu na kutembea kama sijawahi kuumwa mguu. Je wewe ulishawahi kuponeshwa na dawa ambayo hata hukuweza kuamini
Hizi ndio shuhuda??
Mmeanza story kwenye Thread ya Nwenzenu
Leta vitafunio tu ndugu.Chai
Nashukuru sana mkuu, hopefully mwakani tutafunga na wewe inshaallah.Ramadhan njema Mkuu
Nashukuru sana mkuu, hopefully mwakani tutafunga na wewe inshaallah.
It will, what matters is time.No mkuu. Impossible mission
It will, what matters is time.
Sawa tuko pamoja mkuu.Kabla ya kuongea chochote hakikisha ulimi wako umeunganishwa ipasavyo na ubongo wako na vyote vinafanya Kazi Kwa pamoja