Mzee wa makamo
JF-Expert Member
- Dec 3, 2024
- 200
- 444
bwana ametoa bwana ametwaa jina lake lihimidiwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pinga kwa hoja shekhKwa sasa unajiona umewin kw sababu ya pumzi alokujaalia Muumba wako. Subiri utakapofumba jicho utayaona na utalipwa. Wakati mwengine hata kama kilevi kimekuzidi lkn ifike pahala utumie akili yako alokujaalia Mungu vizur na uheshimu dini za wenzako.
Wengi Huwa mnauliza maswali ya aina hii mkiwa na majibu yenu tayari, je uko tayari kupokea jibu la swali lakoKatika dini mbili za mapokeo na nyemelezi, ukristo na uislam, kuna vitu viwili vinanipa taabu kidogo.
Mosi, ni urafiki wa Yesu na wanawake wawili toka Bethania ambao walionekana kuwa karibu naye kiasi cha kuweza kuona kama walikuwa na mapenzi na si urafiki.
Pili, ni vifo vya watoto wa mtume Mohamed. Ukiondoa, binti yake Fatima, wote walikufa mapema kabla ya kuoa na kuolewa.
Je, huyu bwana alikuwa na tatizo gani kiafya ambalo Allah alishindwa kama ambavyo Yesu alikufa akiwa hata hajaoa?
Najua wapo watakaosema Yesu hakupaswa kuoa kana kwamba kuoa ni dhambi. Hayo tuyaache.
Huwa Wana majibu yao tayari yaani mtu anataka kufosi atoke nje ya kitabu akatumie micropedia etc ni ujinga kwani historia ya yesu imeandikwa wapi zaidi ya humo?Wewe unataka udaku sio maandiko, kwenye vitabu vya dini hakuna mahala YESU kaandikwa kuwa na mahusiano yoyote.
Na kuhusu watoto wa Muhammad (S. A. W) walikufa kama binadamu wengine mana walikuwa kama binadamu wengine ila tu walikuwa na nasaba na mjumbe wa mwenyezi Mungu, na historia za vifo vyao zimeandikwa kwenye hadithi za maswahaba, sasa unataka tufukue nini juu ya vifo vyao zaidi ya kuona kilichoandikwa kwenye hadithi za maswahaba,
Unataka umange kimambi kwenye maandiko???
Aheshimu ujinga eti imani!!Kwa sasa unajiona umewin kw sababu ya pumzi alokujaalia Muumba wako. Subiri utakapofumba jicho utayaona na utalipwa. Wakati mwengine hata kama kilevi kimekuzidi lkn ifike pahala utumie akili yako alokujaalia Mungu vizur na uheshimu dini za wenzako.
Kivipi? Hebu dadavua na fafahua kama una uwezo.Wengi Huwa mnauliza maswali ya aina hii mkiwa na majibu yenu tayari, je uko tayari kupokea jibu la swali lako
Hata wew ni mjinga lkn bado mke wako anakuvumilia.Aheshimu ujinga eti imani!!
Sina hoja wew pagan lkn subir ufe ndio utaona!Pinga kwa hoja shekh
Wewe unatafuta fatwaAchana nayo hayo. Hizi ni soga za kale za wayahudi na waarabu.
Halafu Yesu alikufa akiwa na miaka 33, lkn hakuna hata mstari.mmoja unaozungumzia maisha yake ya kuchepuka na msichana ama mwanamke yeyote. Ndiyo kusema yeye alikuwa hapati "kiu"? Au alikuwa ni muumini wa mkono mmoja a.k.a punyeto?
Ingawa mtume Mohammad S A.W yeye ktk umri wa miaka 25 tu akajitwika lishangazi la miaka 45. Na mpk kufikia uamuzi wa kujitwika jimama hilo maana yake ni kwamba alianza kula uroda akiwa mdogo sana, probably miaka 15.
Mwanzilishi wa kuoa mishangazi ni mtume Mohammad S.A.W.
Sitishi, wee endelea kumuasi Mungu tu, na uzuri ni kuwa hujafunga mkataba naye!! Hizo zako ni pumzi tu, ila malaika wa mauti wakikushukia ndio utajuwa. Usijisahau kiasi hicho kiasi cha kujifanya comedian watu wacheke kumbe unajiharibia.Wewe acha kutisha watu, sasa mtu akifumba asubiri kuona nini na keshakufa???
Roho kwa mwanadamu Ni Kama mvua tu inapozuru kwenye ardhi kwa muda na kisha maji kurud yalikotoka na kubaki ukame mithili ya mwili uliokwisha kufa Hadi pale itakapo irudia kwa Mara nyingine.Usiinifanye zwazwa. Ukishaingia si umeamini kila utopolo. Utahojije wakati ushaingizwa mkenge kama kubadilishwa jina, kuaminishwa kila ngano, na hata kuharibiwa (brainwash) kiakili kuwa tayari kufia imani au kuamini ukishaoza utaenda peponi wakati mkizikana mnamwambia mfu kuwa hii ni makazi yake ya milele? Tumia common sense na siyo uncomon sense mwanangu kabla ya kuliwa ukijiona. Ni ushauri tu.
SUbiri ufumbe macho, kisha na huo utumbo wako uloandika usiusahau!Roho kwa mwanadamu Ni Kama mvua tu inapozuru kwenye ardhi kwa muda na kisha maji kurud yalikotoka na kubaki ukame mithili ya mwili uliokwisha kufa Hadi pale itakapo irudia kwa Mara nyingine.
Mimi nimekubali kuliwa nikijiona, maana hata nisipokubali sintoweza kuwa na taraja lolote Kama wewe usivyo na taraja lolote zaidi ya mbiu zako za upotevuni na hakuna anayekuhurumia Wala kukujali.
Nilidhani umekuja na suluhu ya kifo kumbe na wewe Ni moja ya waliao. Pole Sana yesu Ni jibu.
Wanajua vizuri kwamba mtume ndiye amemrithisha tabia mbaya rais Emmanuel Macron🤣🤣🤣🤣 je ndugu wa S.A.W wanajua Hilo?!!! Kwamba mjomba alioa bonge la li shangazi?!!!
Na kiarabu alikijulia huko huko Kilwa? Au miaka hiyo eneo la uarabuni lilifika mpaka Kilwa?Mtume Mohammad alikuwa ni black na siyo Mwarabu kama tunavyoaminishwa. Watafitibwamefuatilia historia yake inasemekana alitokea maeneo ya Kilwa.
Kuna picha kadhaa zimehusishwa na mtume Mihammad kupitia tafiti hizo, lakini hii ndiyo imekubalika kuwa huyo ndiye alikuwa Mtume Mihammad S.W.A
View attachment 3173913
Kwani ukienda nchi za watu hautakiw kujifunza na kijua lugha yao?Na kiarabu alikijulia huko huko Kilwa? Au miaka hiyo eneo la uarabuni lilifika mpaka Kilwa?
Kivipi mzee au hujaelewa nilichoandika? Soma vizuriSUbiri ufumbe macho, kisha na huo utumbo wako uloandika usiusahau!
Subahanallah. Audhubilah mina shaitan rajiimAchana nayo hayo. Hizi ni soga za kale za wayahudi na waarabu.
Halafu Yesu alikufa akiwa na miaka 33, lkn hakuna hata mstari.mmoja unaozungumzia maisha yake ya kuchepuka na msichana ama mwanamke yeyote. Ndiyo kusema yeye alikuwa hapati "kiu"? Au alikuwa ni muumini wa mkono mmoja a.k.a punyeto?
Ingawa mtume Mohammad S A.W yeye ktk umri wa miaka 25 tu akajitwika lishangazi la miaka 45. Na mpk kufikia uamuzi wa kujitwika jimama hilo maana yake ni kwamba alianza kula uroda akiwa mdogo sana, probably miaka 15.
Mwanzilishi wa kuoa mishangazi ni mtume Mohammad S.A.W.
Mwanangu Asshole, sorry, ass, sorry Ass1234, waarabu wanjanja. Wamewafundisha kuchukiana na kulaaniana. Ssaa hiyo laana ya shaitwan qabir yanini kwa mswahili mwenzako kama ungekuwa unajitambua na kuwatambua wenzako?Subahanallah. Audhubilah mina shaitan rajiim
We msengee unalaana kilo 100.Achana nayo hayo. Hizi ni soga za kale za wayahudi na waarabu.
Halafu Yesu alikufa akiwa na miaka 33, lkn hakuna hata mstari.mmoja unaozungumzia maisha yake ya kuchepuka na msichana ama mwanamke yeyote. Ndiyo kusema yeye alikuwa hapati "kiu"? Au alikuwa ni muumini wa mkono mmoja a.k.a punyeto?
Ingawa mtume Mohammad S A.W yeye ktk umri wa miaka 25 tu akajitwika lishangazi la miaka 45. Na mpk kufikia uamuzi wa kujitwika jimama hilo maana yake ni kwamba alianza kula uroda akiwa mdogo sana, probably miaka 15.
Mwanzilishi wa kuoa mishangazi ni mtume Mohammad S.A.W.
Kati yako naye msenge fresh ni nani mwanangu kama tutakuwa wakweli?We msengee unalaana kilo 100.