King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Kwanini akulipe? umeshindwa kumsaidia?Mara moja [emoji23][emoji23]na alikuja kuilipa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini akulipe? umeshindwa kumsaidia?Mara moja [emoji23][emoji23]na alikuja kuilipa
Mara moja [emoji23][emoji23]na alikuja kuilipa
Ohoooo...[emoji849][emoji849]Mara moja [emoji23][emoji23]na alikuja kuilipa
[emoji849][emoji849][emoji849]Huwa zinalipwa kiaina huwa tuna mahesabu
HongeraaLove is beautful thing asa ukimpata anayekupenda(but na wewe upendeke sasa uwe na akili) kwa miaka 12 nilokaa naye aseee maisha ni matamu
Mtoto w w2 kwenye kujali tu ananikosha sana , sauti yake, mideko yake mm hoi.
Nb; atakayemuowa atapata raha sana
Love is beautful thing asa ukimpata anayekupenda(but na wewe upendeke sasa uwe na akili) kwa miaka 12 nilokaa naye aseee maisha ni matamu
Nyege zikimjaa analipia gesti mwenyewe mi nikabandue tu.....Asma popote ulipo nimekumis mtoto wa kizaramo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hiyo imetoka kwake mkuu,mimi ndio mtumiwa,mariooo pro max[emoji1][emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
Anavyonipenda tu mpk nahisi ni kamalaika..🤣
Jina langu huwa analitamka kiutamu na kale kasauti kake akiita kenzyyy Yani Kama pepo unaiona hii hapa! Mengine siri ila chakuongezea sio msumbufu mara leo anune mara sijui alete mkwara huu nooo kabisa Toto ya watu imetulia haina makuu..
Nyie Bata mi napendwa walahii..🤣🤣🤣