1. Ongea na familia yako kuhusu mpango wa kuacha kazi, waambie ni kwa nini unaacha kazi na umuhimu wa kuwa mjasirimali
2. Anza maandalizi ikiwemo kuwa na biashara yako ambayo itakusaidia kuendesha maisha
3. Anza practical mfano: unaweza chukua likizo na ukafanya practical ya wewe kuwa full katika biashara yako
4. Hakikisha biashara yako ni sustainable na si ya ubabaishaji, hakikisha umeisha ifanyia research ya kutosha
5. Anza kwa kuanza kuachana na baadhi ya marafiki ambao unaona watakwamisha safari yako, mfano marafiki wenye mwelekeo wa kazi sana, tafuta marafiki wenye mwelekeo wa kujijiri ndo wawe marafiki
6. Muda wako, mawazo yako yajikite zaidi katika kujiajiri mwenyewe,
7. UKISHA KAMILISHA HAYA MKUU, UNAWEZA ANZA KUAGA KAZINI, HAKIKISHA UNAWAAGA WENZAKO
MWISHO CHOMA MELI MOTO AU FANYA ALICHO AGIZWA RUTU KUFANYA WAKATI ANAONDOKA SODOMA NA GOMORA