Vituko jikoni, Let us share and have fun

Vituko jikoni, Let us share and have fun

Sina hamu na kuboronga mapishi[emoji23]
Kilichonipata siku napika keki,tena keki inayotakiwa iliwe kwenye hafla ndogo.
Wakati wa kuandaa nilizidisha blue band aisee ile keki tulipika usiku kucha inachemka tu bila kukauka [emoji23]

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka aisee
 
Usiombe kupika maandazi ukiwa sehemu ya baridi wkt mazoea yako ni kupika ukiwa Dar na joto
Jmn haviumukiii

Ilibidi niwashe oven km dk 20 na kuzima ili joto lile liumue vitu vyangu
 
Kupika banana bread unga (dry ukazidi mixture ya wet ingredients

nilitakiwa kupika kubwa kdg kuliko nlivyozoea nkaongeza vipimo lakini wapii

ilikua km ugali sio banana cake tena
 
Sina hamu na kuboronga mapishi[emoji23]
Kilichonipata siku napika keki,tena keki inayotakiwa iliwe kwenye hafla ndogo.
Wakati wa kuandaa nilizidisha blue band aisee ile keki tulipika usiku kucha inachemka tu bila kukauka [emoji23]

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Hahaaa keki halikauki aisee, vipi ikawaje sasa😀
 
Katika safari yangu ya mapishi dah.
Siku ya kwanza kusonga ugali niliambiwa nisubiri maji yakichemka ndiyo niweke unga aarh naona maji yanachelewa mara kwa mbali naona yanaanza kuchemka fasta nikaweka unga naanza kusonga ugali mbichi hangaika nao sana bado tu, nikaitoa sufuria kimya kimya kuelekea jalalani kutupa huo ugali ,ile narudi nakutana na mama mlangoni nipo na sufuria lilikoua na ugali naulizwa ugali uko wapi natoa macho tu nilidundwa mikofi ya mgongoni😀😀

Siku nyingine mama alikua amelazwa hospital na mtoto, home nikabaki na mdogo angu , mama aliagiza nipike wali nile na mtoto na baba akirudi angekula pia. Naanza kupika wali kumbe maji kidogo mchele mwingi subiri wali hauivi umekua mbichi kabisa wanaita kiini, aargh nikautoa hivo hivo kibishi mara naskia baba kaja na rafiki yake na wanauliza ulipika nini leo? Nikaona anakaa mezani na mwenzake wanachukua msosi nikasema leo 🤔naona baba anaguna hiki chakula mtoto ameshakula? Nikamwambia bado ndiyo tunataka kula akasema aah msile kwanza , akaondoka na rafiki yake . Akaja kumwambia mama huyo mtoto wako mkubwa mwili tu ila akili hana hata kupika hajui😀😀
 
Katika safari yangu ya mapishi dah.
Siku ya kwanza kusonga ugali niliambiwa nisubiri maji yakichemka ndiyo niweke unga aarh naona maji yanachelewa mara kwa mbali naona yanaanza kuchemka fasta nikaweka unga naanza kusonga ugali mbichi hangaika nao sana bado tu, nikaitoa sufuria kimya kimya kuelekea jalalani kutupa huo ugali ,ile narudi nakutana na mama mlangoni nipo na sufuria lilikoua na ugali naulizwa ugali uko wapi natoa macho tu nilidundwa mikofi ya mgongoni[emoji3][emoji3]

Siku nyingine mama alikua amelazwa hospital na mtoto, home nikabaki na mdogo angu , mama aliagiza nipike wali nile na mtoto na baba akirudi angekula pia. Naanza kupika wali kumbe maji kidogo mchele mwingi subiri wali hauivi umekua mbichi kabisa wanaita kiini, aargh nikautoa hivo hivo kibishi mara naskia baba kaja na rafiki yake na wanauliza ulipika nini leo? Nikaona anakaa mezani na mwenzake wanachukua msosi nikasema leo [emoji848]naona baba anaguna hiki chakula mtoto ameshakula? Nikamwambia bado ndiyo tunataka kula akasema aah msile kwanza , akaondoka na rafiki yake . Akaja kumwambia mama huyo mtoto wako mkubwa mwili tu ila akili hana hata kupika hajui[emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Katika safari yangu ya mapishi dah.
Siku ya kwanza kusonga ugali niliambiwa nisubiri maji yakichemka ndiyo niweke unga aarh naona maji yanachelewa mara kwa mbali naona yanaanza kuchemka fasta nikaweka unga naanza kusonga ugali mbichi hangaika nao sana bado tu, nikaitoa sufuria kimya kimya kuelekea jalalani kutupa huo ugali ,ile narudi nakutana na mama mlangoni nipo na sufuria lilikoua na ugali naulizwa ugali uko wapi natoa macho tu nilidundwa mikofi ya mgongoni[emoji3][emoji3]

Siku nyingine mama alikua amelazwa hospital na mtoto, home nikabaki na mdogo angu , mama aliagiza nipike wali nile na mtoto na baba akirudi angekula pia. Naanza kupika wali kumbe maji kidogo mchele mwingi subiri wali hauivi umekua mbichi kabisa wanaita kiini, aargh nikautoa hivo hivo kibishi mara naskia baba kaja na rafiki yake na wanauliza ulipika nini leo? Nikaona anakaa mezani na mwenzake wanachukua msosi nikasema leo [emoji848]naona baba anaguna hiki chakula mtoto ameshakula? Nikamwambia bado ndiyo tunataka kula akasema aah msile kwanza , akaondoka na rafiki yake . Akaja kumwambia mama huyo mtoto wako mkubwa mwili tu ila akili hana hata kupika hajui[emoji3][emoji3]
Ugali na wali umewachezesha kindumbwe dumbwe wengi.

Mpk tukajua tumetoka mbali. [emoji28]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka aisee
Hizo lawama zake Sasa[emoji38]acha kabisa,
Nilikosa raha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Tangu siku hiyo sijajaribu tena kupika keki.
 
Share na wewe yaliyokupata kwenye safari ya kujifunza mapishi [emoji23]
yani kuikweli kila nilivyokuwa najifunza kupika lazima disaster itokee.

1. kuunguza sufuria (kabla ya kuweka chochote)
2. mara bibie akini distract tu basi kitunguu chaungua
3. kukaanga mayayi kwenye kijisufuria wakati frying pan bibie anatumia

ila hii thread nilivyoisoma, sikuwaza drama zangu binafsi nilizopitia jikoni (katika upishi) ila vituko vya bibie alivyokuwa ananifanyia.

maana washing mashine ilikuwa inakaa jikoni basi wakati anasubiri chakula kifikie steji ya kuchekiwa, na ile machine ikiwa inaendelea na shughuli zake, yeye hua alikuwa anapenda kupanda juu na wakati wa ku spin ukifika hua alikuwa anachanganyikiwa sana!

ngoja niishie hapa maana hizi memories hizi...
 
Acha kabisa...zinazofanana na mifuniko ya masufuria....kaukau...alimradi hekaheka. Halafu chapati hazina muamana hata mbaya zinanukia, watu wakija wanasema mbona kunanukia chapati na zenyewe hazionekani....mie kimya kama siishi humo..
Ha ha haaaaa. Ati kama siishi humo.
 
yani kuikweli kila nilivyokuwa najifunza kupika lazima disaster itokee.

1. kuunguza sufuria (kabla ya kuweka chochote)
2. mara bibie akini distract tu basi kitunguu chaungua
3. kukaanga mayayi kwenye kijisufuria wakati frying pan bibie anatumia

ila hii thread nilivyoisoma, sikuwaza drama zangu binafsi nilizopitia jikoni (katika upishi) ila vituko vya bibie alivyokuwa ananifanyia.

maana washing mashine ilikuwa inakaa jikoni basi wakati anasubiri chakula kifikie steji ya kuchekiwa, na ile machine ikiwa inaendelea na shughuli zake, yeye hua alikuwa anapenda kupanda juu na wakati wa ku spin ukifika hua alikuwa anachanganyikiwa sana!

ngoja niishie hapa maana hizi memories hizi...
[emoji15][emoji15][emoji15]
 
Back
Top Bottom